Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kipo sharp kikiwa hakijaza kweli
Hata kikijaa bado kinakimbia.

Hakuna anayependa kuchelewa

Basi wewe huwezi ukapanda siku Kuna mawimbi.
Huwa kinashindwa kutia nanga
Ama meli kubwa ukipita kunakuwa na mawimbi
Kwahiyo wakati wa kutia nanga hakitulii kule mbele kwa kushukia kile kibati kinaruka juu.
 
Hata kikijaa bado kinakimbia.

Hakuna anayependa kuchelewa

Basi wewe huwezi ukapanda siku Kuna mawimbi.
Huwa kinashindwa kutia nanga
Ama meli kubwa ukipita kunakuwa na mawimbi
Kwahiyo wakati wa kutia nanga hakitulii kule mbele kwa kushukia kile kibati kinaruka juu.
Usiku sipandi aisee kwanza naweza zungukia Mbagala tu mie

Kwanza namuwahi nani 😂😂😂
Naenda zangu hadi uhasibu tu hapo .

Nilishanga kilivyokuwa kinaruka nikasema this thing ooh 😂😂

Hicho tuwaachie mlichokizoea .
 
Usiku sipandi aisee kwanza naweza zungukia Mbagala tu mie

Kwanza namuwahi nani
Naenda zangu hadi uhasibu tu hapo .

Nilishanga kilivyokuwa kinaruka nikasema this thing ooh

Hicho tuwaachie mlichokizoea .

Huna shida ndo maana
Ukipata shida unapanda tu mbona


Ile njia ya kuzunguka ina foleni mno.

Mimi pia nilikuwa siwezi kusogeza miguu yangu hata kwenye ifukwe tu.
 
Malegendary tunapanda tu.
Siku ikifika imefika.


Kwanza hadi tuje kuzama,,mitumbwi yote hii ya wavuvi akina Majaliwa watakuja tu kutuokoa.
 

Huna shida ndo maana
Ukipata shida unapanda tu mbona


Ile njia ya kuzunguka ina foleni mno.

Mimi pia nilikuwa siwezi kusogeza miguu yangu hata kwenye ifukwe tu.
Sijaenda siku nyingi huko.ndo maaana nikawa nashangaa tu mie .

Sio foleni sana , naona itanisaidia kuliko hiyo ya ferry .

Napenda kutembea usiku muda mwingine .
 
Mimi kubwa nakaaga juu
Ni mara moja nilikaa chini
Wenzio kubwa tunasimama kule mbele karibu na kwa kushukia
Kikisimama tu tunashuka kabla ya magari
IMG_20230531_104839_651.jpg
 
Sijaenda siku nyingi huko.ndo maaana nikawa nashangaa tu mie .

Sio foleni sana , naona itanisaidia kuliko hiyo ya ferry .

Napenda kutembea usiku muda mwingine .
Oh sawa

Ikiwa route Yako ya kila siku, daily routine mbona utapita tu Kigamboni

Ukiwa unaenda mara mojamoja njia ya Mbagala inafaa.
 
Nimezoea wapi
Tabu hazizoeleki
Natamani kurudi tu mkoani aisee
Hili jiji ni mateso tupu
Pole sana yaani
Jiji gumu hili , tunakaza tu shingo

Nikapita kariakoo jioni nilijuta njia imebana ni wafanya biashara tu wapo njiani .

Na bado uende usimame kwenye basi toka kariakoo had Mbezi beach 😂😂😂

Na li foleni la barabara duh .
 
Back
Top Bottom