Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ile sio meli shoga yanguMeli kuzama ni process
Ila mwezi Jana niliota kile kidogo kimegeuka chini juu[emoji23]
Nikaogopa.
Akhi ukipanda ndo utaanza kuelewa upo kwenye nn hichi 😂😂
Ile sio meli shoga yanguMeli kuzama ni process
Ila mwezi Jana niliota kile kidogo kimegeuka chini juu[emoji23]
Nikaogopa.
Yeah mara moja mojaOh sawa
Ikiwa route Yako ya kila siku, daily routine mbona utapita tu Kigamboni[emoji23]
Ukiwa unaenda mara mojamoja njia ya Mbagala inafaa.
Hehebeee umezoea jiji hadi rahaMuda huo ushachelewa kazini
Hizo nguvu za kusubiri huwezi pata[emoji1787]
Nimezoea wapi[emoji23]Hehebeee umezoea jiji hadi raha
Pole sana yaaniNimezoea wapi[emoji23]
Tabu hazizoeleki
Natamani kurudi tu mkoani aisee
Hili jiji ni mateso tupu
nilikuwa natafuta maisha, kumbe maisha yakapitia huku me nahangaika kule 🥹[emoji4]Pole kwani ulikua wapi?
weka kwanza pua yako hapa, isijekuwa zile pua zinazomaliza hewa haraka ninaye pumua tu nipate uhakika wa maisha.yeweeee[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2677186
Tutatumia pua yako mkuuweka kwanza pua yako hapa, isijekuwa zile pua zinazomaliza hewa haraka ninaye pumua tu nipate uhakika wa maisha.
😂😂😂😂Ehhh tena.nilikuwa natafuta maisha, kumbe maisha yakapitia huku me nahangaika kule 🥹
Niko hapa dear, tena chap wakati wamelala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ehhh tena.
Haya ukitulia nambie niirudie chap
Sawa mkuu😁😁
ms eyes hebu tubless😂Mmelala? Nataka nipite naked😂
yaani ndo nini kuniacha macho kodo muda wote huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ehhh tena.
Haya ukitulia nambie niirudie chap
pita.Napitaaaaaa uchiiii hapaaa, hakuna watuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]