Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Hata kubwa ukikaa chini unasikia maji.Kweli kile ni kitax duh
Ni hatarii .
Bora hiyo kubwa aisee
Kile unasikia maji kabisa .
Hata kubwa ukikaa chini unasikia maji.Kweli kile ni kitax duh
Ni hatarii .
Bora hiyo kubwa aisee
Kile unasikia maji kabisa .
Hata kikijaa bado kinakimbia.Kipo sharp kikiwa hakijaza kweli


Usiku sipandi aisee kwanza naweza zungukia Mbagala tu mieHata kikijaa bado kinakimbia.
Hakuna anayependa kuchelewa
Basi wewe huwezi ukapanda siku Kuna mawimbi.
Huwa kinashindwa kutia nanga
Ama meli kubwa ukipita kunakuwa na mawimbi
Kwahiyo wakati wa kutia nanga hakitulii kule mbele kwa kushukia kile kibati kinaruka juu.
Usiku sipandi aisee kwanza naweza zungukia Mbagala tu mie
Kwanza namuwahi nani
Naenda zangu hadi uhasibu tu hapo .
Nilishanga kilivyokuwa kinaruka nikasema this thing ooh
Hicho tuwaachie mlichokizoea .



Mimi kubwa nakaaga juuHata kubwa ukikaa chini unasikia maji.
Sijaenda siku nyingi huko.ndo maaana nikawa nashangaa tu mie .
Huna shida ndo maana
Ukipata shida unapanda tu mbona
Ile njia ya kuzunguka ina foleni mno.
Mimi pia nilikuwa siwezi kusogeza miguu yangu hata kwenye ifukwe tu.
Yeah pale wavuvi wengi sanaMalegendary tunapanda tu.
Siku ikifika imefika.
Kwanza hadi tuje kuzama,,mitumbwi yote hii ya wavuvi akina Majaliwa watakuja tu kutuokoa.
Wenzio kubwa tunasimama kule mbele karibu na kwa kushukiaMimi kubwa nakaaga juu
Ni mara moja nilikaa chini

Meli kuzama ni processYeah pale wavuvi wengi sana

Ah mie sinaga haraka aiseeWenzio kubwa tunasimama kule mbele karibu na kwa kushukia
Kikisimama tu tunashuka kabla ya magariView attachment 2677502
Oh sawaSijaenda siku nyingi huko.ndo maaana nikawa nashangaa tu mie .
Sio foleni sana , naona itanisaidia kuliko hiyo ya ferry .
Napenda kutembea usiku muda mwingine .

Muda huo ushachelewa kaziniAh mie sinaga haraka aisee
Nasubiri taratibu ndo nishuke .

Ile sio meli shoga yanguMeli kuzama ni process
Ila mwezi Jana niliota kile kidogo kimegeuka chini juu
Nikaogopa.
Yeah mara moja mojaOh sawa
Ikiwa route Yako ya kila siku, daily routine mbona utapita tu Kigamboni
Ukiwa unaenda mara mojamoja njia ya Mbagala inafaa.
Hehebeee umezoea jiji hadi rahaMuda huo ushachelewa kazini
Hizo nguvu za kusubiri huwezi pata![]()
Nimezoea wapiHehebeee umezoea jiji hadi raha

Pole sana yaaniNimezoea wapi
Tabu hazizoeleki
Natamani kurudi tu mkoani aisee
Hili jiji ni mateso tupu
nilikuwa natafuta maisha, kumbe maisha yakapitia huku me nahangaika kule 🥹Pole kwani ulikua wapi?