Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,973
- 26,960
😊Pole kwani ulikua wapi?
😊Pole kwani ulikua wapi?
Muonee huruma mwenzio😊Pole kwani ulikua wapi?
😲😲Yamekua hayo tenaMuonee huruma mwenzio
Si urudie tuu
Utoe na lile kofia
We ukipata muda njooEwaaaah! Asante kwa mwaliko huu next time nicheki tuje kula mema ya nchi 😍
Mjep shkamooMuonee huruma mwenzio
Si urudie tuu
Utoe na lile kofia
Marahaba mdogo wanguMjep shkamoo
SijamboMarahaba mdogo wangu
Umeamkaje leo?

Nitafurahi na nitashukuru sana mdogo wangu 🙏Sijambo
Hivi unaonaje na sisi jobless tukununulie vocha hata ya buku
Kila siku unatupa sisi
Itabidi tumuombe kaka Mshana Jr atufungulie uzi wetu ma jobless tuwe tunatupia vi vocha vya kupigana tafu hukoSijambo
Hivi unaonaje na sisi jobless tukununulie vocha hata ya buku
Kila siku unatupa sisi
Ada haijatimia mkuu, fanya kuiongeza kidogo. 😅View attachment 2677018
Nikiambiwa nitoe ushauri kwa Vijana, ni kuwa mjitahidi kuzaa mapema ili kusomesha mkiwa bado mna nguvu.
Imagine leo hii Babu yenu nalipa ada za Vijana kwa hela ya pension 🤪
Hello Monday 🥂
Kabisa yaaniItabidi tumuombe kaka Mshana Jr atufungulie uzi wetu ma jobless tuwe tunatupia vi vocha vya kupigana tafu huko
Ili tuache hapa watu wa selfike tu kwa uhuru
Yaani hapa nimempiga kiswahili Mwalimu Mkuu hadi amekubali nipeleke nusu nusu.Ada haijatimia mkuu, fanya kuiongeza kidogo. 😅
babu you're rich😂View attachment 2677018
Nikiambiwa nitoe ushauri kwa Vijana, ni kuwa mjitahidi kuzaa mapema ili kusomesha mkiwa bado mna nguvu.
Imagine leo hii Babu yenu nalipa ada za Vijana kwa hela ya pension 🤪
Hello Monday 🥂
Hatari sanaView attachment 2677018
Nikiambiwa nitoe ushauri kwa Vijana, ni kuwa mjitahidi kuzaa mapema ili kusomesha mkiwa bado mna nguvu.
Imagine leo hii Babu yenu nalipa ada za Vijana kwa hela ya pension
Hello Monday![]()
Hahaha.................shule za kawaida ila ni wengi, si unajua Wazee wa zamani tulikuwa tunazaa watoto 6 kuendelea 🤪🏃🏃🏃Hatari sana
Watoto wa Feza,Babobab na Tusiime hao
Tungi inafanya nisocialize na Wazee wenzangu as Bongo hakuna vituo vya kulelea Wazee 🤪babu you're rich😂
ndo maana tungi kwa sana
Grandchildren are the crown of the aged, and the glory of children is their fathers. Pambana mkuuYaani hapa nimempiga kiswahili Mwalimu Mkuu hadi amekubali nipeleke nusu nusu.
Imagine hapo nina watoto 8 tu ningekuwa nao 12 si ningetembea naongea mwenyewe 😅🙌
Hakika Mkuu, ila ningejua ningezaaga mwaka 47 saivi ningekuwa nakula pension pasipo presha ya kuambiwa Baba shule tunafungua Jumatatu hivyo naomba ada 🤪🏃🏃🏃Grandchildren are the crown of the aged, and the glory of children is their fathers. Pambana mkuu
Kweli nilichemka, kuna kabinti kalinifanyia ule mchezo wenu vijana mnapenda .......aisee kuja kushtuka tayari nikajikuta watoto wa uzeeni.Hapo ulichemka😅
Pesa ya pension ni kwa ajili ya kula bata na gambe za uzeeni, pesa za ada ulipaswa kuziandaa mapema. Lakini bado hujachelewa mkuu, hata kuwa na uwezo wa kusomesha kwa pension ni jambo la kushukuru. Kuna wenzako walizaa mwaka 47 wakaacha watoto wanachunga mbuzi na kondoo tu😅🏃🏃