Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20230703_091139.jpg

Nikiambiwa nitoe ushauri kwa Vijana, ni kuwa mjitahidi kuzaa mapema ili kusomesha mkiwa bado mna nguvu.

Imagine leo hii Babu yenu nalipa ada za Vijana kwa hela ya pension 🤪


Hello Monday 🥂
 
Itabidi tumuombe kaka Mshana Jr atufungulie uzi wetu ma jobless tuwe tunatupia vi vocha vya kupigana tafu huko

Ili tuache hapa watu wa selfike tu kwa uhuru
Kabisa yaani
Hapa tumechanganyikana na matajiri
Wanakwapua vocha ambazo tulitakiwa majobless tuchukue.


Au kama vipi tuunde tu grp letu PM jamani.
 
Ada haijatimia mkuu, fanya kuiongeza kidogo. 😅
Yaani hapa nimempiga kiswahili Mwalimu Mkuu hadi amekubali nipeleke nusu nusu.

Imagine hapo nina watoto 8 tu ningekuwa nao 12 si ningetembea naongea mwenyewe 😅🙌
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Yaani hapa nimempiga kiswahili Mwalimu Mkuu hadi amekubali nipeleke nusu nusu.

Imagine hapo nina watoto 8 tu ningekuwa nao 12 si ningetembea naongea mwenyewe 😅🙌
Grandchildren are the crown of the aged, and the glory of children is their fathers. Pambana mkuu
 
Grandchildren are the crown of the aged, and the glory of children is their fathers. Pambana mkuu
Hakika Mkuu, ila ningejua ningezaaga mwaka 47 saivi ningekuwa nakula pension pasipo presha ya kuambiwa Baba shule tunafungua Jumatatu hivyo naomba ada 🤪🏃🏃🏃
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Hapo ulichemka😅
Pesa ya pension ni kwa ajili ya kula bata na gambe za uzeeni, pesa za ada ulipaswa kuziandaa mapema. Lakini bado hujachelewa mkuu, hata kuwa na uwezo wa kusomesha kwa pension ni jambo la kushukuru. Kuna wenzako walizaa mwaka 47 wakaacha watoto wanachunga mbuzi na kondoo tu😅🏃🏃
Kweli nilichemka, kuna kabinti kalinifanyia ule mchezo wenu vijana mnapenda .......aisee kuja kushtuka tayari nikajikuta watoto wa uzeeni.

Sijui yule binti anafanya Yoga mnaita, yaani we acha tu...
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Back
Top Bottom