Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani hapa nimempiga kiswahili Mwalimu Mkuu hadi amekubali nipeleke nusu nusu.

Imagine hapo nina watoto 8 tu ningekuwa nao 12 si ningetembea naongea mwenyewe 😅🙌
Grandchildren are the crown of the aged, and the glory of children is their fathers. Pambana mkuu
 
Grandchildren are the crown of the aged, and the glory of children is their fathers. Pambana mkuu
Hakika Mkuu, ila ningejua ningezaaga mwaka 47 saivi ningekuwa nakula pension pasipo presha ya kuambiwa Baba shule tunafungua Jumatatu hivyo naomba ada 🤪🏃🏃🏃
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Hapo ulichemka😅
Pesa ya pension ni kwa ajili ya kula bata na gambe za uzeeni, pesa za ada ulipaswa kuziandaa mapema. Lakini bado hujachelewa mkuu, hata kuwa na uwezo wa kusomesha kwa pension ni jambo la kushukuru. Kuna wenzako walizaa mwaka 47 wakaacha watoto wanachunga mbuzi na kondoo tu😅🏃🏃
Kweli nilichemka, kuna kabinti kalinifanyia ule mchezo wenu vijana mnapenda .......aisee kuja kushtuka tayari nikajikuta watoto wa uzeeni.

Sijui yule binti anafanya Yoga mnaita, yaani we acha tu...
 
  • Kicheko
Reactions: 511
yeweeee😁😁😁
A91D073C-0661-48E2-8115-7181D070A3D2.jpeg
 
Kutongozwa ukiwa field

Nilifanya field serikali ya mtaa jamani 😂😂😂😂 .
Mjumbe bhana akanipenda ,

Siku moja nikawa naenda zangu date ,tulikuwa ofisini wawili , nikawahi kweli kutoka kabla ya saa tisa na nusu .

Sasa nikapitia njia ambayo siitumia kufika napoenda , duh kesho yake sasa .

Nafika nakutwa nachambwa bila sababu halfu nilipitia saluni asubuhi

Yule mjumbe kanichoma kwa mwenyekiti wa mtaa aisee , na ni mwanamke anaongea huyo .

Ikanibidi niache na field siku hiyo na sikuwa nimepanga , wambeya sana
Kazi mnayo😂 Kuna sehemu nilifanya tulitengenezewa hadi magroup ya whatsapp....

Kumbe ni mchongo wazee wa vitengo wanazama inbox😂
 
Kazi mnayo😂 Kuna sehemu nilifanya tulitengenezewa hadi magroup ya whatsapp....

Kumbe ni mchongo wazee wa vitengo wanazama inbox😂
Wazee wa kazi wanawasubiri 😂😂.

Nilifanya field ya pili hospital huko ndo pako moto zaidi .

Interns nikasikia habari zao ni balaa .
 
Back
Top Bottom