cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Hii siku basi tulikuwa pamoja.Ushakuwa swimmer eeh
Last week nimepanda pantoni tukakimbilia lile la Azam .
Basi tukifika kati kati ya maji bhana
Likagoma since watu walikuwa wamejaa mbele .
hivyo ikafanya pantoni ilemewe upande mmoja .
Ndo watu kuongea weh ndo wakasogea nyuma ndo likaanza kwenda .
Next time napanda tu Mv. Kazi kwa kweli ..
Yaani sina hamu , si wengine tuko nyuma huku wengine wanakaa mbele huko kweli .Hii siku basi tulikuwa pamoja.
Watanzania vichwa vigumu
Unawaambia sogea nyuma hawataki,wanajazana mbele.
Ndo maana siku hizi huwa wanashusha watu kabla haijaondoka.
Eeh bora wafanye hivyoHii siku basi tulikuwa pamoja
Ndo maana siku hizi huwa wanashusha watu kabla haijaondoka.
Lile kubwa linakeraYaani sina hamu , si wengine tuko nyuma huku wengine wanakaa mbele huko kweli .
Mv kazi ilikuwa empty kabisa na tukangangania kile kidude kukikapanda .
Kuna mda nilitaka kuhamia kigamboni baada ya siku ile , sitaki kabisa .
Wanamgomea kwa sababu tayari wapo kwenye maji na kuwashusha hawawezi.Eeh bora wafanye hivyo
watu wabishi sana wanamgomea hadi Askari .
Napandaga treni linagoma lakini hamuwazi sana ila pantoni uwii .
Kimeniacha hoi wakati wa kushuka
Kina dance dance 😂😂
Uzito upo mbele .
Bora hilo kubwa , hilo la AzamLile kubwa linakera
Linachelewa sana kuondoka ndo maana tunakimbilia kidogo..nao wanajishaua wale..Kuna muda wanakera.
Mi huwa nakaa seat ya mbele ili nisipate shida muda wa kushuka
Wala huwa sikimbii😂ila huwa nakaa mbele,mdogo mdogo naanza kuingia kabla hawajamaliza kutokaBora hilo kubwa , hilo la Azam
Na bado tukafika muda mmoja .
Upo vizuri kwenye mbio , mie nilikuwa nimechoka sana siku hiyo .
Jamani yani tungejua tungeonana .Wanamgomea kwa sababu tayari wapo kwenye maji na kuwashusha hawawezi.
Wale wote vichwa vibovu wanaogandia pale mbele huwa wanashushwa kabla hakijaondoka..afande anachora line,wote waliozidi wanashushwa.
Ile siku hawakusimamia..watu wakajisimamia hovyoo..mi nikajisemea tu hapa lazima tunase leo.
Waliokaa kusimamia ile siku ni wazembeJamani yani tungejua tungeonana .
Mimi niliona wengi nikasema mmhh ngoja tuone . .
Wafanye tu hivyo aisee , uzuri huku watu hawana mizigo .
Yah pako slippery sana .Wala huwa sikimbii😂ila huwa nakaa mbele,mdogo mdogo naanza kuingia kabla hawajamaliza kutoka
Usizoee kukimbia pale,utapitiliza baharini,panateleza sana .
Ukiwa unapanda just for leisure then panda MV kazi au kombe lile MV Kigamboni
Ila kama una haraka kama mimi ndo unaona umuhimu wa kile kidogo.
Yeah kwa kweliWaliokaa kusimamia ile siku ni wazembe
Yaani kukata pale kwenye ngazi kuja mbele,wowote huwa wanashushwa
Na wanaambiwa kabisa wahini Panton kabla haijaondoka
Muda mwingine inakuwa haipo na wanashushwa hawana utani.
Tungeonana ,sema ndo kutokujua.
Ndo hivyohivyo watu wanakimbiagaYah pako slippery sana .
Basi unakaa mwanzoni sana ile wamefungua geti wewe huyo .
Siku hiyo watu walikimbilia kile kidude tafikiri mabasi ya gongo la mboto 😂😂😂
Next time ni Mv kazi au yenyewe kabisa .
Juzi pia ujinga wa watu hivyohivyoYeah kwa kweli
Tumshukuru Mungu kwa kweli dah .
Mule mule watu wakaanza ongea ya kutisha nikaanza kusema enhe Yesu .
Khaa aise Dar hapa kuna vitukoNdo hivyohivyo watu wanakimbiaga
Kuna wengine walikimbia,baba na kitambi
Yule mlinzi pale mbele akamwambia hivi hujawahi kuanguka eeh?
Akasema ndiyo
Akamwambia ndio maana🤣
Dear hebu panda real pantoni maana hivyo sijui tuviitaje aiseeJuzi pia ujinga wa watu hivyohivyo
Yalajazana mbele
Nikataka kunasa.
Halafu wabishi
Eti ooh kwanini tusogee nyumba,kwani imekuwa daladala kwamba wanapanda wengine njiani.
Tukawaambia tunaenda kunasa katikati😂
Na tukinasa tutapoteza muda ..watu tunawahi mishe zetu halafu wajinga wachache wanaanza kutuchelewesha.
Wakasogea nyuma.
Akakazia baba mmoja kuwa mkizidi mbele engine inakosa balance.
Inatakiwa ipumue kama binadamu
Kwahiyo ikikosa balance inasimama.
Mi napanda kila sikuDear hebu panda real pantoni maana hivyo sijui tuviitaje aisee
Anha hiyo kila siku itakuwa mwendo wa kuelekezana kuwa
Sogeeni nyuma
Akya nani , Azam alete pantoni za maana na sio sub pantoni .




Unaona kishatupitaKhaa aise Dar hapa kuna vituko
Ni kuwahi tu seat watu ndo wanawaza na hata huchoki ukisimama.
Jana nimekoma kutembea jumapili .
Hivi jumapili inakera uwiii
Unasimama masaa kusubiri bus , watu wengi barabarani tafikiri jumatatu .

Kweli kile ni kitax duhMi napanda kila siku
Asbh labda nikikosa kile kitax ndo napanda kubwa.
Ndo maana inaitwa taxi
Hapa penyewe nimepanda
Ila kubwa View attachment 2677489
Kipo sharp kikiwa hakijaza kweli