Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yeah kwa kweli
Tumshukuru Mungu kwa kweli dah .

Mule mule watu wakaanza ongea ya kutisha nikaanza kusema enhe Yesu .
Juzi pia ujinga wa watu hivyohivyo
Yalajazana mbele

Nikataka kunasa.
Halafu wabishi
Eti ooh kwanini tusogee nyumba,kwani imekuwa daladala kwamba wanapanda wengine njiani.

Tukawaambia tunaenda kunasa katikati😂
Na tukinasa tutapoteza muda ..watu tunawahi mishe zetu halafu wajinga wachache wanaanza kutuchelewesha.

Wakasogea nyuma.
Akakazia baba mmoja kuwa mkizidi mbele engine inakosa balance.
Inatakiwa ipumue kama binadamu
Kwahiyo ikikosa balance inasimama.
 
Ndo hivyohivyo watu wanakimbiaga

Kuna wengine walikimbia,baba na kitambi
Yule mlinzi pale mbele akamwambia hivi hujawahi kuanguka eeh?
Akasema ndiyo
Akamwambia ndio maana🤣
Khaa aise Dar hapa kuna vituko
Ni kuwahi tu seat watu ndo wanawaza na hata huchoki ukisimama.

Jana nimekoma kutembea jumapili .

Hivi jumapili inakera uwiii
Unasimama masaa kusubiri bus , watu wengi barabarani tafikiri jumatatu .
 
Juzi pia ujinga wa watu hivyohivyo
Yalajazana mbele

Nikataka kunasa.
Halafu wabishi
Eti ooh kwanini tusogee nyumba,kwani imekuwa daladala kwamba wanapanda wengine njiani.

Tukawaambia tunaenda kunasa katikati😂
Na tukinasa tutapoteza muda ..watu tunawahi mishe zetu halafu wajinga wachache wanaanza kutuchelewesha.

Wakasogea nyuma.
Akakazia baba mmoja kuwa mkizidi mbele engine inakosa balance.
Inatakiwa ipumue kama binadamu
Kwahiyo ikikosa balance inasimama.
Dear hebu panda real pantoni maana hivyo sijui tuviitaje aisee

Anha hiyo kila siku itakuwa mwendo wa kuelekezana kuwa
Sogeeni nyuma 😂

Akya nani , Azam alete pantoni za maana na sio sub pantoni .
 
Dear hebu panda real pantoni maana hivyo sijui tuviitaje aisee

Anha hiyo kila siku itakuwa mwendo wa kuelekezana kuwa
Sogeeni nyuma [emoji23]

Akya nani , Azam alete pantoni za maana na sio sub pantoni .
Mi napanda kila siku [emoji23]
Asbh labda nikikosa kile kitax ndo napanda kubwa.

Ndo maana inaitwa taxi[emoji23][emoji23]


Hapa penyewe nimepanda[emoji23]
Ila kubwa
IMG_20230703_191916_435.jpg
 
Kipo sharp kikiwa hakijaza kweli
Hata kikijaa bado kinakimbia.

Hakuna anayependa kuchelewa [emoji23]

Basi wewe huwezi ukapanda siku Kuna mawimbi.
Huwa kinashindwa kutia nanga[emoji23]
Ama meli kubwa ukipita kunakuwa na mawimbi
Kwahiyo wakati wa kutia nanga hakitulii kule mbele kwa kushukia kile kibati kinaruka juu.
 
Hata kikijaa bado kinakimbia.

Hakuna anayependa kuchelewa [emoji23]

Basi wewe huwezi ukapanda siku Kuna mawimbi.
Huwa kinashindwa kutia nanga[emoji23]
Ama meli kubwa ukipita kunakuwa na mawimbi
Kwahiyo wakati wa kutia nanga hakitulii kule mbele kwa kushukia kile kibati kinaruka juu.
Usiku sipandi aisee kwanza naweza zungukia Mbagala tu mie

Kwanza namuwahi nani 😂😂😂
Naenda zangu hadi uhasibu tu hapo .

Nilishanga kilivyokuwa kinaruka nikasema this thing ooh 😂😂

Hicho tuwaachie mlichokizoea .
 
Usiku sipandi aisee kwanza naweza zungukia Mbagala tu mie

Kwanza namuwahi nani [emoji23][emoji23][emoji23]
Naenda zangu hadi uhasibu tu hapo .

Nilishanga kilivyokuwa kinaruka nikasema this thing ooh [emoji23][emoji23]

Hicho tuwaachie mlichokizoea .
[emoji1787][emoji23]
Huna shida ndo maana[emoji23]
Ukipata shida unapanda tu mbona


Ile njia ya kuzunguka ina foleni mno.

Mimi pia nilikuwa siwezi kusogeza miguu yangu hata kwenye ifukwe tu.
 
Malegendary tunapanda tu.
Siku ikifika imefika.


Kwanza hadi tuje kuzama,,mitumbwi yote hii ya wavuvi akina Majaliwa watakuja tu kutuokoa.
 
[emoji1787][emoji23]
Huna shida ndo maana[emoji23]
Ukipata shida unapanda tu mbona


Ile njia ya kuzunguka ina foleni mno.

Mimi pia nilikuwa siwezi kusogeza miguu yangu hata kwenye ifukwe tu.
Sijaenda siku nyingi huko.ndo maaana nikawa nashangaa tu mie .

Sio foleni sana , naona itanisaidia kuliko hiyo ya ferry .

Napenda kutembea usiku muda mwingine .
 
Sijaenda siku nyingi huko.ndo maaana nikawa nashangaa tu mie .

Sio foleni sana , naona itanisaidia kuliko hiyo ya ferry .

Napenda kutembea usiku muda mwingine .
Oh sawa

Ikiwa route Yako ya kila siku, daily routine mbona utapita tu Kigamboni[emoji23]

Ukiwa unaenda mara mojamoja njia ya Mbagala inafaa.
 
Back
Top Bottom