Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,514
- 235,219
Juzi pia ujinga wa watu hivyohivyoYeah kwa kweli
Tumshukuru Mungu kwa kweli dah .
Mule mule watu wakaanza ongea ya kutisha nikaanza kusema enhe Yesu .
Yalajazana mbele
Nikataka kunasa.
Halafu wabishi
Eti ooh kwanini tusogee nyumba,kwani imekuwa daladala kwamba wanapanda wengine njiani.
Tukawaambia tunaenda kunasa katikati😂
Na tukinasa tutapoteza muda ..watu tunawahi mishe zetu halafu wajinga wachache wanaanza kutuchelewesha.
Wakasogea nyuma.
Akakazia baba mmoja kuwa mkizidi mbele engine inakosa balance.
Inatakiwa ipumue kama binadamu
Kwahiyo ikikosa balance inasimama.