Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20230703_091139.jpg

Nikiambiwa nitoe ushauri kwa Vijana, ni kuwa mjitahidi kuzaa mapema ili kusomesha mkiwa bado mna nguvu.

Imagine leo hii Babu yenu nalipa ada za Vijana kwa hela ya pension 🤪


Hello Monday 🥂
 
Itabidi tumuombe kaka Mshana Jr atufungulie uzi wetu ma jobless tuwe tunatupia vi vocha vya kupigana tafu huko

Ili tuache hapa watu wa selfike tu kwa uhuru
Kabisa yaani
Hapa tumechanganyikana na matajiri
Wanakwapua vocha ambazo tulitakiwa majobless tuchukue.


Au kama vipi tuunde tu grp letu PM jamani.
 
Ada haijatimia mkuu, fanya kuiongeza kidogo. 😅
Yaani hapa nimempiga kiswahili Mwalimu Mkuu hadi amekubali nipeleke nusu nusu.

Imagine hapo nina watoto 8 tu ningekuwa nao 12 si ningetembea naongea mwenyewe 😅🙌
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Back
Top Bottom