Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

yeweeee😁😁😁
A91D073C-0661-48E2-8115-7181D070A3D2.jpeg
 
Kutongozwa ukiwa field

Nilifanya field serikali ya mtaa jamani 😂😂😂😂 .
Mjumbe bhana akanipenda ,

Siku moja nikawa naenda zangu date ,tulikuwa ofisini wawili , nikawahi kweli kutoka kabla ya saa tisa na nusu .

Sasa nikapitia njia ambayo siitumia kufika napoenda , duh kesho yake sasa .

Nafika nakutwa nachambwa bila sababu halfu nilipitia saluni asubuhi

Yule mjumbe kanichoma kwa mwenyekiti wa mtaa aisee , na ni mwanamke anaongea huyo .

Ikanibidi niache na field siku hiyo na sikuwa nimepanga , wambeya sana
Kazi mnayo😂 Kuna sehemu nilifanya tulitengenezewa hadi magroup ya whatsapp....

Kumbe ni mchongo wazee wa vitengo wanazama inbox😂
 
Kazi mnayo😂 Kuna sehemu nilifanya tulitengenezewa hadi magroup ya whatsapp....

Kumbe ni mchongo wazee wa vitengo wanazama inbox😂
Wazee wa kazi wanawasubiri 😂😂.

Nilifanya field ya pili hospital huko ndo pako moto zaidi .

Interns nikasikia habari zao ni balaa .
 
We ukipata muda njoo
Mimi naogelea kila siku😂
Ushakuwa swimmer eeh 😍😍

Last week nimepanda pantoni tukakimbilia lile la Azam .

Basi tukifika kati kati ya maji bhana

Likagoma since watu walikuwa wamejaa mbele .

hivyo ikafanya pantoni ilemewe upande mmoja .

Ndo watu kuongea weh ndo wakasogea nyuma ndo likaanza kwenda .

Next time napanda tu Mv. Kazi kwa kweli ..
 
Back
Top Bottom