cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Kabisa yaani
Hapa tumechanganyikana na matajiri
Wanakwapua vocha ambazo tulitakiwa majobless tuchukue.
Au kama vipi tuunde tu grp letu PM jamani.






Kabisa yaani
Hapa tumechanganyikana na matajiri
Wanakwapua vocha ambazo tulitakiwa majobless tuchukue.
Au kama vipi tuunde tu grp letu PM jamani.






shkamoo mzee....
mondays are always trash😂Marahaba bro wangu.
Nimekumic mla mihogo mwenzangu.
Kulikuwa na ka u busy kidogo ndio maana sijachangamka. Niko good now
mda mbona....Umemaliza UE
Dada mic u mnoo,




ndio.... ila hamna kupoa bado kuna mambo ya field😂Ok. So unazunguka tu mwanjerwa hapo 😅
Field za kiwaki sanandio.... ila hamna kupoa bado kuna mambo ya field😂
ndo ya mwisho hii hainipi stress....Field za kiwaki sana
All the best , kwangu hazikuwa nzuri .
Ah nicendo ya mwisho hii hainipi stress....
shida gani😂Ah nice
Wanawake tunapitia shida kwenye field kweli .
Sitosahau nilivyochambwa 😂😂
Kazi mnayo😂 Kuna sehemu nilifanya tulitengenezewa hadi magroup ya whatsapp....Kutongozwa ukiwa field
Nilifanya field serikali ya mtaa jamani 😂😂😂😂 .
Mjumbe bhana akanipenda ,
Siku moja nikawa naenda zangu date ,tulikuwa ofisini wawili , nikawahi kweli kutoka kabla ya saa tisa na nusu .
Sasa nikapitia njia ambayo siitumia kufika napoenda , duh kesho yake sasa .
Nafika nakutwa nachambwa bila sababu halfu nilipitia saluni asubuhi
Yule mjumbe kanichoma kwa mwenyekiti wa mtaa aisee , na ni mwanamke anaongea huyo .
Ikanibidi niache na field siku hiyo na sikuwa nimepanga , wambeya sana
Wazee wa kazi wanawasubiri 😂😂.Kazi mnayo😂 Kuna sehemu nilifanya tulitengenezewa hadi magroup ya whatsapp....
Kumbe ni mchongo wazee wa vitengo wanazama inbox😂
Ushakuwa swimmer eeh 😍😍We ukipata muda njoo
Mimi naogelea kila siku😂
Selfika na JF: Snap it. Show itNational Anthem niaje babu
Natafuta ukurasa ule uliweka nyimbo za Diplomatics
Naam, naaaam!
Wee hukuwepoo, niliwekaaWe mtoto mbona jana ukadanganya wazeekuhusu TBT



