Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Kujifanya bilionaireSasa dear Zari anajisahauje? Emu sema basi.
Mbna yuko cool sanaa BL. au mie mahabaa yamenipofushaaa
Halafu anasema self made
Wewe mahaba kwake yamezidi .
Kujifanya bilionaireSasa dear Zari anajisahauje? Emu sema basi.
Mbna yuko cool sanaa BL. au mie mahabaa yamenipofushaaa
Acha roho mbaya bana. Tupo wazee wenzako hapa tuna hamu ya kulea🙌😅 cocasticIli nigundue nini miee hekaheka siziwezi uduguuu 🤠😁!
Acha nitulie miee nilienae anitoshelezaaa mpaka nabakiaaa 😛😛😛😛!!
Alichokosea Nyerere ni kutoweka mifumo ya kudhibiti Wizi na Ufisadi baada ya Yeye kuondoka.Nliishawahi kutamani hivi
Tungekuwa mbali sana na kufikia malengo makubwa.
Wakenya wanatucheka kuwa hatuna skyscrapers nyingi
Zipo mbili tu za pale posta .
Heheee balaaaBasi wenzio hao wazungu ndo hawataki kuwasikia, utaskia wameleta, utadhani watu wanashikiwa bundukii, lol.
![]()
Hii ndio point sasa👍!!Umeanza kuogopa. Heshima pesa, salamu ni kelele tu.
Wakunyumba punguza huu ujinga, kaka yako niko hapa cocastic 😎Unatakaaa ya Goviii??
Sema nikutengenezee, tena lingozii ntaliweka likubwaaaa.
So sadAlichokosea Nyerere ni kutoweka mifumo ya kudhibiti Wizi na Ufisadi baada ya Yeye kuondoka.
Viongozi wenzake waliomfuatia wameitafuna Nchi na wanaendelea kuitafuna as wameifanya shamba la Bibi huku wakiendelea kulindwa na vyombo vya Ulinzi 🙌
😅😅😅🙌🙌🙌Hii ndio point sasa👍!!
Best koment of the day from you🤠
Govi tenaa 🙌🙌🙌🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤠Unatakaaa ya Goviii??
Sema nikutengenezee, tena lingozii ntaliweka likubwaaaa.
Mabibi saiz yao mababu au sio classmate Grahams 😅Mweh mie moyo wangu wa nafasi moja tu tayari iko occupied!
Kwanza nyie wanawafaa Warembo vigoriiii wateketeke! Sio sie mibibi!
Kumbe kaolewa na mjedaHivi walikudokeza ameolewa na Mjeda? 🤪
Leo umenikaliajee kooni wee mzee nipumzishe kidogo lol!!Hivi walikudokeza ameolewa na Mjeda? 🤪
Ni kweli wengi hatupendi Siasa lakini maisha yetu wote yanaathiriwa na Siasa.So sad
Mimi mambo ya siasa siyapendi , naona yanatesa tu ukifikiria
Nothing will ever change , just crooked system everywhere .
Kuna siku aliwahi kumpost humu, the guy seems musculature 🙌Kumbe kaolewa na mjeda
Basi nimetema ndoano, sitaki heka heka mie🙌😅
Mie humu nawawezeaa wapiii kwanzaaa sewaweziiiiiiiii🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤠🤠!!Kumbe kaolewa na mjeda
Basi nimetema ndoano, sitaki heka heka mie🙌😅
So sadNi kweli wengi hatupendi Siasa lakini maisha yetu wote yanaathiriwa na Siasa.
Imagine kuanzia kesho tarehe 1/7/2023 bei ya mfuko wa Cement inapanda, ukiwa unadunduliza Kujenga kibanda chako mahali hauta kuwa umeathiriwa na gharama hizo?
Basi gharama hizo zimejadiriwa na kuridhiwa na Bunge letu ambalo linaongozwa na Wanasiasa 🙌
Hahahaha...................niwie radhi Mjukuu, nahisi hizi John Walker za leo ninazo kunywa ni kama wameongeza kilevi 🤪🏃🏃🏃🏃Leo umenikaliajee kooni wee mzee nipumzishe kidogo lol!!
Wenzio wana data nyingineee wee unazungumzia mjeda 🤠🤠🤠🤠😁!!!!
Ebu selfikeni kwanzaaaa😊!!