Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,221
- 183,071
Leo umenikaliajee kooni wee mzee nipumzishe kidogo lol!!Hivi walikudokeza ameolewa na Mjeda? 🤪
Wenzio wana data nyingineee wee unazungumzia mjeda 🤠🤠🤠🤠😁!!!!
Ebu selfikeni kwanzaaaa😊!!
Leo umenikaliajee kooni wee mzee nipumzishe kidogo lol!!Hivi walikudokeza ameolewa na Mjeda? 🤪
Ni kweli wengi hatupendi Siasa lakini maisha yetu wote yanaathiriwa na Siasa.So sad
Mimi mambo ya siasa siyapendi , naona yanatesa tu ukifikiria
Nothing will ever change , just crooked system everywhere .
Kuna siku aliwahi kumpost humu, the guy seems musculature 🙌Kumbe kaolewa na mjeda
Basi nimetema ndoano, sitaki heka heka mie🙌😅
Mie humu nawawezeaa wapiii kwanzaaa sewaweziiiiiiiii🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤠🤠!!Kumbe kaolewa na mjeda
Basi nimetema ndoano, sitaki heka heka mie🙌😅
So sadNi kweli wengi hatupendi Siasa lakini maisha yetu wote yanaathiriwa na Siasa.
Imagine kuanzia kesho tarehe 1/7/2023 bei ya mfuko wa Cement inapanda, ukiwa unadunduliza Kujenga kibanda chako mahali hauta kuwa umeathiriwa na gharama hizo?
Basi gharama hizo zimejadiriwa na kuridhiwa na Bunge letu ambalo linaongozwa na Wanasiasa 🙌
Hahahaha...................niwie radhi Mjukuu, nahisi hizi John Walker za leo ninazo kunywa ni kama wameongeza kilevi 🤪🏃🏃🏃🏃Leo umenikaliajee kooni wee mzee nipumzishe kidogo lol!!
Wenzio wana data nyingineee wee unazungumzia mjeda 🤠🤠🤠🤠😁!!!!
Ebu selfikeni kwanzaaaa😊!!
😅😅😅 Basi hatari sana. Ngoja nitulie sasa, mambo ha wajenda siyaweziKuna siku aliwahi kumpost humu, the guy seems musculature 🙌
Ni hatari tuendako 🙌So sad
Naona hadi majirani limewachwea
Kodi za nyumba za watumishi wanakatwa .
Sio kosa lako ni Hekaheka za uzeeee hizooo unazeeka vibaya babuu😄😄😄!!Hahahaha...................niwie radhi Mjukuu, nahisi hizi John Walker za leo ninazo kunywa ni kama wameongeza kilevi 🤪🏃🏃🏃🏃
Tutafika tu .Ni hatari tuendako 🙌
Ila unaweza kupambania kombe, si Mjeda yupo abroad huko analinda amani 😅😅😅😅 Basi hatari sana. Ngoja nitulie sasa, mambo ha wajenda siyawezi
Yeah ni kweliTutafika tu .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiii.Kujifanya bilionaire
Halafu anasema self made
Wewe mahaba kwake yamezidi .
Watunza mafile 🙌🙌😄😄🤠🤠🤠!!Kuna siku aliwahi kumpost humu, the guy seems musculature 🙌
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan tafranii tupuu.Heheee balaaa
Mimi nawapenda and nimejikuta nawaiga sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Tungebaki washamba sana yani enzi za miaka 47
Kwani unaenda wapi?Tutafika tu .