Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nliishawahi kutamani hivi
Tungekuwa mbali sana na kufikia malengo makubwa.

Wakenya wanatucheka kuwa hatuna skyscrapers nyingi
Zipo mbili tu za pale posta .
Alichokosea Nyerere ni kutoweka mifumo ya kudhibiti Wizi na Ufisadi baada ya Yeye kuondoka.

Viongozi wenzake waliomfuatia wameitafuna Nchi na wanaendelea kuitafuna as wameifanya shamba la Bibi huku wakiendelea kulindwa na vyombo vya Ulinzi 🙌
 
Basi wenzio hao wazungu ndo hawataki kuwasikia, utaskia wameleta , utadhani watu wanashikiwa bundukii, lol.

Heheee balaaa

Mimi nawapenda and nimejikuta nawaiga sana 😂😂😂

Tungebaki washamba sana yani enzi za miaka 47
 
Alichokosea Nyerere ni kutoweka mifumo ya kudhibiti Wizi na Ufisadi baada ya Yeye kuondoka.

Viongozi wenzake waliomfuatia wameitafuna Nchi na wanaendelea kuitafuna as wameifanya shamba la Bibi huku wakiendelea kulindwa na vyombo vya Ulinzi 🙌
So sad
Mimi mambo ya siasa siyapendi , naona yanatesa tu ukifikiria

Nothing will ever change , just crooked system everywhere .
 
Unatakaaa ya Goviii??
Sema nikutengenezee, tena lingozii ntaliweka likubwaaaa.
Govi tenaa 🙌🙌🙌🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🤠
 
So sad
Mimi mambo ya siasa siyapendi , naona yanatesa tu ukifikiria

Nothing will ever change , just crooked system everywhere .
Ni kweli wengi hatupendi Siasa lakini maisha yetu wote yanaathiriwa na Siasa.

Imagine kuanzia kesho tarehe 1/7/2023 bei ya mfuko wa Cement inapanda, ukiwa unadunduliza Kujenga kibanda chako mahali hauta kuwa umeathiriwa na gharama hizo?

Basi gharama hizo zimejadiriwa na kuridhiwa na Bunge letu ambalo linaongozwa na Wanasiasa 🙌
 
Kumbe kaolewa na mjeda
Basi nimetema ndoano, sitaki heka heka mie🙌😅
Mie humu nawawezeaa wapiii kwanzaaa sewaweziiiiiiiii🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤠🤠!!
Acha nikaki na ngamia wangu mmoja anifaaye hata jangwaniii!😊😊!!

Wa kwenye jua kwenye mvuaaaa kwa shida na rahaaaa !!
Kwa maradhi kwa afyaaaa🤠🤠🤠
 
Ni kweli wengi hatupendi Siasa lakini maisha yetu wote yanaathiriwa na Siasa.

Imagine kuanzia kesho tarehe 1/7/2023 bei ya mfuko wa Cement inapanda, ukiwa unadunduliza Kujenga kibanda chako mahali hauta kuwa umeathiriwa na gharama hizo?

Basi gharama hizo zimejadiriwa na kuridhiwa na Bunge letu ambalo linaongozwa na Wanasiasa 🙌
So sad
Naona hadi majirani limewachwea

Kodi za nyumba za watumishi wanakatwa .
 
Leo umenikaliajee kooni wee mzee nipumzishe kidogo lol!!
Wenzio wana data nyingineee wee unazungumzia mjeda 🤠🤠🤠🤠😁!!!!


Ebu selfikeni kwanzaaaa😊!!
Hahahaha...................niwie radhi Mjukuu, nahisi hizi John Walker za leo ninazo kunywa ni kama wameongeza kilevi 🤪🏃🏃🏃🏃
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Back
Top Bottom