True love bhana never diesG wako kumbe anavuta bangi, na hajaniambia.
namuuliza anajibu nsamehe tyuuh.
Yaan anahisi labda ntamuacha, kumbe bangi kwangu sio ishu.
Afu hakuna anayejua, na wala haoneshiii, na kasema nisimuambie mtu.
Kumbe unaweza tumia bangi, na watu wasikugundue au kujionesha.
Njoo Spur basi, utarudi chuoni kesho ππG wako kumbe anavuta bangi, na hajaniambia.
namuuliza anajibu nsamehe tyuuh.
Yaan anahisi labda ntamuacha, kumbe bangi kwangu sio ishu.
Afu hakuna anayejua, na wala haoneshiii, na kasema nisimuambie mtu.
Kumbe unaweza tumia bangi, na watu wasikugundue au kujionesha.
Mtunzie siri shem wetuG wako kumbe anavuta bangi, na hajaniambia.
namuuliza anajibu nsamehe tyuuh.
Yaan anahisi labda ntamuacha, kumbe bangi kwangu sio ishu.
Afu hakuna anayejua, na wala haoneshiii, na kasema nisimuambie mtu.
Kumbe unaweza tumia bangi, na watu wasikugundue au kujionesha.
G kani suprise, nisingekuta bangi kwake nilipo iona, hata nani angenambia ningekataa, unajua yuko normal kabisaa yaan hajulikani wala haoneshi km anatumia bangi.True love bhana never dies
Ahh mapenzi ni ukichaa uwii
Hongera sana kwa kupambania penzi lako .
Bangi unakuwa normal kabisa
Juzi nipo sehemu usiku mtu wa bajaji akasema subiri nivute kwanza ndo nije na kaendesha fresh kweli
Mie na G 4rever!! Starehee yake simzuiii.Mtunzie siri shem wetu
Na uzidi kumpenda
Njoo Spur basi, utarudi chuoni kesho
Yeah dearMie na G 4rever!! Starehee yake simzuiii.
Yesss!!!Yeah dear
Huko ndo kupenda
Hahaa aiseeG kani suprise, nisingekuta bangi kwake nilipo iona, hata nani angenambia ningekataa, unajua yuko normal kabisaa yaan hajulikani wala haoneshi km anatumia bangi.
Hata yeyote nimuambie eti G anavuta bangi, watasema namsingizia wallah.
Kumbe uchizi wengine wanajifanyisha, sio tatizo bangi .
Tuwakilisheni huko maana πππYesss!!!
Sasa wewe mwizi anaye chipukia National Anthem una taka nije huko dar kwa miguuπ€, Mana mi Niko nanjilinjii kwa wazaziππMtoto mkali aliepo masaki.. asogee hapa Spur ... tule maisha kidogo
Intelligent businessman habari za jioni.. nimekuja kidogo hapa kula vi raha.. njoo na shemeji yangu
I mean no malice to nobody,Mtoto mkali aliepo masaki.. asogee hapa Spur ... tule maisha kidogo
Intelligent businessman habari za jioni.. nimekuja kidogo hapa kula vi raha.. njoo na shemeji yangu
Nafurahisha Moyo wanguππ, sitaki wageni ππ AaliyyahLooh ubahili ππ
We Mwachiluwi ni dogo tu a.k.a kindaππππ, haiwezekani uzaliwe 2010 Kisha uji linganishe na ma broo Kama kina mshamba_hachekwi πMm sipendi kuitwa dogo ase hakuna anae juwa mwak wangu kuzaliwa mzee nishamkaja Intelligent businessman ww tena ase sitaki ilo jina
tulia wewe usirushe mchangaπWe Mwachiluwi ni dogo tu a.k.a kindaππππ, haiwezekani uzaliwe 2010 Kisha uji linganishe na ma broo Kama kina mshamba_hachekwi π
Sasa dogo kazaliwa 2010, hata kombe la dunia haja angaliaπππtulia wewe usirushe mchangaπ
Ww kinda unamjuaWe Mwachiluwi ni dogo tu a.k.a kindaππππ, haiwezekani uzaliwe 2010 Kisha uji linganishe na ma broo Kama kina mshamba_hachekwi π
Hahahaha ....Sasa wewe mwizi anaye chipukia National Anthem una taka nije huko dar kwa miguuπ€, Mana mi Niko nanjilinjii kwa wazaziππ
πHalafu demu Sinaππ, shahidi ni Tinsley ππ
Fluffy chich ndiyo nini tena mdogo wangu?Hahahaha ....
You should find one , a hot fluffy chick .
Demu flani amaizing lazima nimuonyeshe aelewe somo ππFluffy chich ndiyo nini tena mdogo wangu?