mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,935
we mzee😂
we mzee😂
una mambo mengi😂Nini bro?




yaanPilau😍😋😋Gily Mjep Lenie Jack Palladino unaona mkono wa mwanaume uhu leo sema jingine leo @mView attachment 2672846
Kulekule kwa janPilau😍😋😋
Nipe location chap
On ze wayyyKulekule kwa jan
Tupe location mkuu tutafata 😀Kuna kilo kilo ya nyama, wana selfika mnazipataje
Nakuwekea na ukoko leo siutupiOn ze wayyy
Wapi huko mm nikisikia neno nyama nachanganyukiwa 😀Kuna kilo kilo ya nyama, wana selfika mnazipataje
dah, kula maisha bro mi nishashiba mihogo na maji😂Gily Mjep Lenie Jack Palladino unaona mkono wa mwanaume uhu leo sema jingine leo @mView attachment 2672846
Njoo ule leo uku mkuudah, kula maisha bro mi nishashiba mihogo na maji😂
Akioa huyu mniite mbwa nimekaa pale 😀Gily Mjep Lenie Jack Palladino unaona mkono wa mwanaume uhu leo sema jingine leo @mView attachment 2672846
ningekua dar ningekuja broNjoo ule leo uku mkuu
kwanini sasa😂Akioa huyu mniite mbwa nimekaa pale 😀
Ase nimejua kucheka si nikuoe wewe basi et 🤣Akioa huyu mniite mbwa nimekaa pale 😀
Msasani mwishoTupe location mkuu tutafata 😀
Hahahaha,karibu msasani mwishoWapi huko mm nikisikia neno nyama nachanganyukiwa 😀