mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,761
dah, kula maisha bro mi nishashiba mihogo na maji😂Gily Mjep Lenie Jack Palladino unaona mkono wa mwanaume uhu leo sema jingine leo @mView attachment 2672846
dah, kula maisha bro mi nishashiba mihogo na maji😂Gily Mjep Lenie Jack Palladino unaona mkono wa mwanaume uhu leo sema jingine leo @mView attachment 2672846
Njoo ule leo uku mkuudah, kula maisha bro mi nishashiba mihogo na maji😂
Akioa huyu mniite mbwa nimekaa pale 😀Gily Mjep Lenie Jack Palladino unaona mkono wa mwanaume uhu leo sema jingine leo @mView attachment 2672846
ningekua dar ningekuja broNjoo ule leo uku mkuu
kwanini sasa😂Akioa huyu mniite mbwa nimekaa pale 😀
Ase nimejua kucheka si nikuoe wewe basi et 🤣Akioa huyu mniite mbwa nimekaa pale 😀
Msasani mwishoTupe location mkuu tutafata 😀
Hahahaha,karibu msasani mwishoWapi huko mm nikisikia neno nyama nachanganyukiwa 😀
Hhaha aunt unaogopa kuambiwa unadoea 😀😀😀Huyu jirani anajua kukaangizaa vituu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nisepee zangu, mwsho kuja kuniita hapaa.
Bora akija akute nsha sepaa kitamboooooo, woiiiiiiiiih
Wew Mimi si nakubaka tu UNataka nifungwe kama yule bibi😀😀😀Ase nimejua kucheka si nikuoe wewe basi et 🤣
Amepika pilau zuri Kuna wanawake hawajui kupika hivo 😀😀kwanini sasa😂
Ningekuwa dar Yani sa hii ningekuwa nimefika 😀😀Hahahaha,karibu msasani mwisho
Siku nyingineNingekuwa dar Yani sa hii ningekuwa nimefika 😀😀
Shukrani sanaSiku nyingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile Eid kubwa, alinibananishaa yaan daah nilijiskia aibuuu, jana ashanambia leo sikukuu kanipa mualiko.Hhaha aunt unaogopa kuambiwa unadoea [emoji3][emoji3][emoji3]
Ushaenda mwanza? Mbna likizo badooo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ningekuwa dar Yani sa hii ningekuwa nimefika [emoji3][emoji3]
Kale pilau huko mm ningeenda hotpot😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile Eid kubwa, alinibananishaa yaan daah nilijiskia aibuuu, jana ashanambia leo sikukuu kanipa mualiko.
Hapa nifanye kusepaa tena kimya kimyaa, na sirudii mapemaa usiku nikute washalala, maana anawezaa kuja kunifata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nishaondoka kipenzi kukuwangu wanaugua kijijin nimewah Nile supu🤣🤣🤣Ushaenda mwanza? Mbna likizo badooo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahahahahah unibaki bahna si nakuwa nimekubaliWew Mimi si nakubaka tu UNataka nifungwe kama yule bibi😀😀😀