Ukiacha na kuunganishwa kuna watu humu ni majasusi wa kutambua watu wenye id zaidi ya moja na sijui wanatambuaje,, imagine unachat na watu kwa id nne tofauti unadhani hawajui kumbe wanajua sana ila wanakuchora tu.. mwisho wa siku unakuta wanakusema kwa codes utasikia halafu yule fulani naye anajishaua na viid vyake uchwara vile anadhani hatumjui duuh