Selfika na JF: Snap it. Show it

Baby..

Missing you..
 
Life isn't fair......πŸƒπŸƒπŸƒ
 
Mimi rafiki zangu ni hapa jukwaani tuu jamani!! Na almost wadada wote! Huko kwenye dunia ingine sina kabisaa naejuana naye!

Tho, Hongera sana kwa uaminifu!! Ila nakudai kitalu changu bado
 
Hahaha hakika umepitia magumu mamiii...

Kwa hiyo kwa sasa mmefikia wapi?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ uwe unaacha kuyajibu
 
Ukiacha na kuunganishwa kuna watu humu ni majasusi wa kutambua watu wenye id zaidi ya moja na sijui wanatambuaje,, imagine unachat na watu kwa id nne tofauti unadhani hawajui kumbe wanajua sana ila wanakuchora tu.. mwisho wa siku unakuta wanakusema kwa codes utasikia halafu yule fulani naye anajishaua na viid vyake uchwara vile anadhani hatumjui duuh
Ni ngumu sana kujua. Wengi tu wana id zaidi ya moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…