Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani umeona enh?? Nilikuwaga sijawahi kujua hilo ila siku hizi na mimi nimejikuta natambaa na beat tu!!

Yaani mkaka akiniita baby namuitikia baby mdada akiniita dear namuitikia dear maana nimeshagundua that's how the thing goes

Ila mwanzo nilikuwa nikiona watu wanaitana hivyo nikawa najua ni wapenzi kweli au ni ndugu kweli kumbe ni swaga tu

Mwisho wa siku genge lichangamshwe
Hahahahahaha
Mimi naweza chat na mtu jukwaani kumbe hata pm hatujawahi fika!! Ila ukituona utadhani tunaishi mtaa mmoja
 
Au sio baby??
 
Wee hapo inategemea na mkaka mwenyewe. Lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…