Wahi pm chap kuna vocha za kufa mtuMbona nina hofu, kuna vocha kweli hapa?!![]()
Amen 😍😍😍Najua wewe na baby Yoda mna kitu na mtafika mbali sana, sema hujaamua tu kumshka. Niliona siku ile meeting yenu ilikuwa hot sana, acha nibaki kuwa shem kama shem.
Aje kufanyajeee??Mwambie aje pm chap![]()




Wewe si wa kuachwaaaniaminishee hutoniachaa kwani.
Ndo ntakuruhusuu
Wahi pm chap kuna vocha za kufa mtu
Shem kama shem





Mbona nina hofu, kuna vocha kweli hapa?!![]()
Aje kufanyajeee??
Wee unatafuta kurogwa kwa nguvuu, nakuona kabisaa, uko winja winja uwee zezeta.





mtie kishipaHapana aiseeHakika leo umewakaaa
Nahisi umekunywa wine leo si haba
Acha uoga mrembo Boss cheupe wa jf nipo kwa ajili yako




Amen
Shem unajua sana kushauri , naomba uwe my mentor please .
Siku baby yoda akizingua unanipa faraja basi .



Amekuona kupitia mwandiko😁😁😁Wewe uliniona wapi mi cheupe?!!![]()
Asante sanaNitalifikiria ombi lako.
Jiamini unao uwezo wa kum control baby Yoda kama game kwenye play station.
Amekuona kupitia mwandiko![]()



yeye verse zisiwe nyingi amwage mivoucher ndio mambo mengine yaendeleeHayaaaa onenii wenyeweee hapaaa, mie siachwiii kamweee.Wewe si wa kuachwaaa
Si kwa utamu ule wallah
Wataachwa wooote lkn siyo wewe mlongo






🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,!wamongoliii wa kike wana gubuu mnooo, utasikia
"anaringa buree hata sio mzuri weupe unambeba" wao huo weupe kwann usiwabebe, tena madukani upoo bei sawa buree hadi jero unapimiwa.
Wanakwamaa wapiiiii![]()
Mambo ya shemeji kula kaka yako hayupo sio.




Ewaaa 😍😍Sio aendelee alipoishia![]()
Hayaaaa onenii wenyeweee hapaaa, mie siachwiii kamweee.
![]()



