Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio Kila mmoja apambane na sonona zake udugu sio kuvamia wengine!!
Yani Humu niseme watu tunachekesha sana kuna Vitu ukijiuliza unabaki kujichekea tu mwenyewe!!
Watu wanavurugwa namambo yao hukoo wanakuja kudiss wadiowahusu humuu basi Mie nikiwaangalia mbavuuu Sinaaaa!!!
Sema nini tuishi humohumo tyuu mbivu na mbichi zitajionesha zenyewe!

Udugu achana wasikumalizie energy wakakojoe walale, afu mimi napenda kweli nikiona watu wanateseka

Watuacheeee au walete wima wima tuwakaushe damu
 
Mjep
Ahsanteeee sanaaa, vochaa nimeionaa pale pale unapowekagaaa.


Watu na nyota zetuu, tukiombaa kidg tyuuh, kituu hikooo.
Ubarikiwee mume wanguu, vocha kubwa hii,

Nakupendraaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
 
Back
Top Bottom