YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Kumbe na vibom vya vocha vipo?!!








Shem darling , siwezi kukunyanganya .Siku ukininyang'anya si nitajifia mie.
Moyo wako unamstahili baby Yoda pekee ndie unaempenda, mimi ni shem kama shem usitugombanishe.
Uduguuu ntakufurushaa sasa hiviii,Kumbe na vibom vya vocha vipo?!!![]()




koo wee mmongoli wako humuombii vochaaa??


Na leo baadaye tuonane Johari nikakukimbie tena😁sasa wee huelewekii Mr vocha, tangu Unikimbie Hotel Zanzibar, sikuamini wee.
Uduguuu ntakufurushaa sasa hiviii,koo wee mmongoli wako humuombii vochaaa??







Naona ishazidi hapo🤣😂😂sio kweli tutatoa kwa tahadhali
Na leo baadaye tuonane Johari nikakukimbie tena![]()





leo namuambiaa receptionist apokee bill yotee kabisaa, sitaki heka heka za reja rejaa.HamgombaniAku usinigombanishe na udugu wangu![]()
Sera zetu 👉 Panga mkononiKidumu chama cha wezi
Ndio Kila mmoja apambane na sonona zake udugu sio kuvamia wengine!!Wote tuna sonona jf ndio pa kuzimalizia![]()

Naona ishazidi hapo![]()
Udugu ngoja nijaribu nione
Wallahi nikinyimwa nitacheka mpk nijikojolee![]()





wenzio tushazoeaaa mbna.



gombania goli.Eeh nimehamia kwako 😂😂Wee usiniambie umehamia kwangu
Baby Yoda anamiliki mtutu kuwa makini sana, na ana wivu sana.