Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku ukininyang'anya si nitajifia mie.
Moyo wako unamstahili baby Yoda pekee ndie unaempenda, mimi ni shem kama shem usitugombanishe.
Shem darling , siwezi kukunyanganya .
Kwanza Baby yoda yupo mbali ,wewe karibu na mimi .
 
  • Mshangao
Reactions: 511
Screenshot_20230621-140356_Twitter.jpg
 
Wote tuna sonona jf ndio pa kuzimalizia
Ndio Kila mmoja apambane na sonona zake udugu sio kuvamia wengine!!
Yani Humu niseme watu tunachekesha sana kuna Vitu ukijiuliza unabaki kujichekea tu mwenyewe!!
Watu wanavurugwa namambo yao hukoo wanakuja kudiss wasiowahusu hata robo humuu basi Mie nikiwaangalia mbavuuu Sinaaaa!😊!!
Sema nini tuishi humohumo tyuu mbivu na mbichi zitajulikana tu!
 
Back
Top Bottom