Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole sana itakuwa linakutesa sana lakn Kila jaribu lina mlango wa kutokea

Yani Mimi dear nawaza before sijafika 30 niwe na kibanda kizuri na biashara ya ndotoyangu
Mapenz hayajawahi kunitisha Wala kunipa stress na nashukuru Mungu ninabahat ya kupendwa pia yaani utulivu 100 ni kutafuta Hela tu
Amina amina Mungu akupiganie Inshallah utafanikiwa!
 
Mgeni Mimi: madam kwani mizigo yangu uli iweka wapi??
👉 Dr Lizzy - una taka kwenda wapi ??
👉Mgeni- nimeona una taka kuniua kwa njaa😂🤣, asubui Ina takiwa mikate m3. We una leta juisi ili nikashitue tumbo nife😂🤣🤣🤣
Huwezi kufa...tunapunguza tu uzito kidogo!!!!🤓

Ila jiko silipo?? Na ugeni siumeisha???🙄🙄
 
Back
Top Bottom