Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mgeni Mimi: madam kwani mizigo yangu uli iweka wapi??
👉 Dr Lizzy - una taka kwenda wapi ??
👉Mgeni- nimeona una taka kuniua kwa njaa😂🤣, asubui Ina takiwa mikate m3. We una leta juisi ili nikashitue tumbo nife😂🤣🤣🤣
Huwezi kufa...tunapunguza tu uzito kidogo!!!!🤓

Ila jiko silipo?? Na ugeni siumeisha???🙄🙄
 
Kabisa dear
Mwanaume akikupenda kwa dhati, anakufanyia mengi mazuri kwa vitendo na si maigizo. Aisee utaenjoy sana. Kosea umpende wewe zaidi afu ajue kwake umekufa ukaoza ndiyo utaishia kulialia kila leo!! Kigi Makasi anasema nakufundisha ujambazi🤣🤣!!

Kila kitu kwa kikomo aisee na
Ukipendwa pendeka sio mtu anakupenda deeply wewe unampiga matukio hio laana itakufuata sikuzote!!
 
Back
Top Bottom