Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kiukweli sikuhiz watu kama wamerogwa😀😀😀Mimi siwez kujichanganya kaka always naamini kwenye true love na ninapenda hasa so kunamda narelax siwez mpenda asienipenda ni kujipotezea muda
Hakika ukiwa na mtazamo huo hautayumbishwa. Watu wanapenda tukio la harusi lakini sio maisha ya Ndoa. Maana kwenye maisha ya Ndoa kuna changamoto sana. Na kama ulijichanganya kukimbilia harusi cha moto utakikuta kwenye ndoa 😅
 
Kwakweli nashukuru Mungu nafikiri ilo linanifanya nimekuwa na amani sikuzote
Kuishi kuyalalamikia mapenzi ni kujionfozhea baraka za Allah kukupa mtu sahihi kilakitu kinahitaji subra
Hakika Subra ndio kitu cha msingi😊
Kwanza ukiwa na subra utajifunza na kujionea mambo mengi ambayo yatakufanyq uboreshe maisha yako. 🙏
 
20230618_082207.jpg
 
Kwakweli nashukuru Mungu nafikiri ilo linanifanya nimekuwa na amani sikuzote
Kuishi kuyalalamikia mapenzi ni kujiondoshea baraka za Allah kukupa mtu sahihi kilakitu kinahitaji subra

Shem kama shem mapenzi bila misukosuko,kugombana,kununiana,hayo siyo mapenzi
 
Back
Top Bottom