Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,151
- 43,107
Allah hujibu kwa wakti na sio kwa haraka wewe tulia tu usije ukajichanganya 🤣🤣🤣Wanaume wenyew Hawa drama kibao kilasiku wanawqza wanawake wapya
Allah hujibu kwa wakti na sio kwa haraka wewe tulia tu usije ukajichanganya 🤣🤣🤣Wanaume wenyew Hawa drama kibao kilasiku wanawqza wanawake wapya
Wanaume wenyew Hawa drama kibao kilasiku wanawqza wanawake wapya
Ni Kweli lakini sio wote sometimes tunajikuta tu drama zinatakiwa zifanyike kubalanceKama nyie tu wanawake tu ,drama nyingi
😂😅😅😂Labda huko sayari nyingine hapa Ukiwa na mtu ukubali ndio aduiyako mkubwa badae,hakuna uyo mwanaume wa kufanya ujifeel proud labda kiunafki huko pembeni anakuona mbweha tu anaanza na kukunanga
Nah for real I feel like there are some real gents out there💪Labda huko sayari nyingine hapa Ukiwa na mtu ukubali ndio aduiyako mkubwa badae,hakuna uyo mwanaume wa kufanya ujifeel proud labda kiunafki huko pembeni anakuona mbweha tu anaanza na kukunanga
Kiukweli sikuhiz watu kama wamerogwa😀😀😀Mimi siwez kujichanganya kaka always naamini kwenye true love na ninapenda hasa so kunamda narelax siwez mpenda asienipenda ni kujipotezea mudaAllah hujibu kwa wakti na sio kwa haraka wewe tulia tu usije ukajichanganya 🤣🤣🤣
OkKiukweli sikuhiz watu kama wamerogwa😀😀😀Mimi siwez kujichanganya kaka always naamini kwenye true love na ninapenda hasa so kunamda narelax siwez mpenda asienipenda ni kujipotezea muda
MmhNah for real I feel like there are some real gents out there💪
Ko man ishi kea kuwindana Kama ma snipper😂😂🤣Ni Kweli lakini sio wote sometimes tunajikuta tu drama zinatakiwa zifanyike kubalance
Hakika ukiwa na mtazamo huo hautayumbishwa. Watu wanapenda tukio la harusi lakini sio maisha ya Ndoa. Maana kwenye maisha ya Ndoa kuna changamoto sana. Na kama ulijichanganya kukimbilia harusi cha moto utakikuta kwenye ndoa 😅Kiukweli sikuhiz watu kama wamerogwa😀😀😀Mimi siwez kujichanganya kaka always naamini kwenye true love na ninapenda hasa so kunamda narelax siwez mpenda asienipenda ni kujipotezea muda
Kabisa ni uhakika😀😀Ko man ishi kea kuwindana Kama ma snipper😂😂🤣
Ngoja mwakani, Kama TULIVYO kubaliana mwezi wa 12 😂🤣Kabisa ni uhakika😀😀
Kwakweli nashukuru Mungu nafikiri ilo linanifanya nimekuwa na amani sikuzoteHakika ukiwa na mtazamo huo hautayumbishwa. Watu wanapenda tulio la harusi lakini sio Ndoa 😅
Hakika Subra ndio kitu cha msingi😊Kwakweli nashukuru Mungu nafikiri ilo linanifanya nimekuwa na amani sikuzote
Kuishi kuyalalamikia mapenzi ni kujionfozhea baraka za Allah kukupa mtu sahihi kilakitu kinahitaji subra
KabisaHakika Subra ndio kitu cha msingi😊
Kwanza ukiwa na subra utajifunza na kujionea mambo mengi ambayo yatakufanyq uboreshe maisha yako. 🙏
Hakika Subra ndio kitu cha msingi
Kwanza ukiwa na subra utajifunza na kujionea mambo mengi ambayo yatakufanyq uboreshe maisha yako.![]()





Mgeni Mimi: madam kwani mizigo yangu uli iweka wapi??
Kwakweli nashukuru Mungu nafikiri ilo linanifanya nimekuwa na amani sikuzote
Kuishi kuyalalamikia mapenzi ni kujiondoshea baraka za Allah kukupa mtu sahihi kilakitu kinahitaji subra