Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Besty nakwambia tena nisikilize vizuri, uzabzab wangu weka pembeni.
Hamna mzazi anapenda kuona binti yake yupo yupo tuu maana anajua tuu kuwa huyu anapelekewa moto tuu. Unauma sana.
Wee njoo bwana nikuoe mie tena mie wala sina mambo mengi 😝
Kmmk😂🤣🤣🤣, we wako SI bichwa komwe🤔🙄
👉 Cute Wife njoo uone kenge hii🤔🤣😂
 
😇 Kuna theory moja huwa inaonekana kabisaaa na watu huwa hawaitilii maanani.
Mti mmoja wenye matunda kila tunda huiva kwa wakati wake sio matunda yote yataiva kwa wakati mmoja. Sasa kwanini Sisi hatuna Subra ? Ukifikika umri fulani wenzako wanapata wenza wao wewe unakuwa hujapata unaanza kuwa na mastress mpaka unajiona una gundu. Kwanini usiaangalie hii theory ya mti wenye matunda? 😅
 
😇 Kuna theory moja huwa inaonekana kabisaaa na watu huwa hawaitilii maanani.
Mti mmoja wenye matunda kila tunda huiva kwa wakati wake sio matunda yote yataiva kwa wakati mmoja. Sasa kwanini Sisi hatuna Subra ? Ukifikika umri fulani wenzako wanapata wenza wao wewe unakuwa hujapata unaanza kuwa na mastress mpaka unajiona una gundu. Kwanini usiaangalie hii theory ya mti wenye matunda? 😅
Na katika hayo matunda, Kuna walaji was Aina nyingi.
👉Wa kuonja na kutupa tunda
👉Wa ili mradi aonekane na tunda
👉Na was kulitunza tunda😍

Intell leo Nina ninininini 😂🤣
 
Sina huo mpango Wala sitak ushauri 😀
Huna mpango wa kuolewa tena 🤣🤣🤣🤣 mie nilisema lakini kuwa wee mpaka mwaka uishe ubao utasoma 0.
Ila olewa bwana evu achana na hizi tantalila za jf. Ujue mbooo za appointment hazina raha kama ile ya kwako yaani anytime wee unajisevia.
Ona sasa wikend hii ungekuwa na mume hapo unamuandalia chai mara kubebishana...ndio raha ya maisha sio kushinda jf na kina mzabzab vijana wa hovyo🤣🤣🤣🤣
 
😇 Kuna theory moja huwa inaonekana kabisaaa na watu huwa hawaitilii maanani.
Mti mmoja wenye matunda kila tunda huiva kwa wakati wake sio matunda yote yataiva kwa wakati mmoja. Sasa kwanini Sisi hatuna Subra ? Ukifikika umri fulani wenzako wanapata wenza wao wewe unakuwa hujapata unaanza kuwa na mastress mpaka unajiona una gundu. Kwanini usiaangalie hii theory ya mti wenye matunda? 😅
Alafu Mbona Mimi sijawahi kuwaza hayo ninawaza vitu tofaut kabisa kwenye maisha
 
Back
Top Bottom