Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,309
Umesahau ni Fuvu chogo na komwe😊!Shida fuvu lako zito😂🤣
Mie kilazaa!;
Umesahau ni Fuvu chogo na komwe😊!Shida fuvu lako zito😂🤣
Baby😂🤣🤣🤣, pika ukapikike😂🤣Napika nyumbani Kwa mama Kuna dadaangu Huwa nampelekea chakula anashinda dukani ndo akawa ananisifia
Kmmk😂🤣🤣🤣, we wako SI bichwa komwe🤔🙄Besty nakwambia tena nisikilize vizuri, uzabzab wangu weka pembeni.
Hamna mzazi anapenda kuona binti yake yupo yupo tuu maana anajua tuu kuwa huyu anapelekewa moto tuu. Unauma sana.
Wee njoo bwana nikuoe mie tena mie wala sina mambo mengi 😝
Inaelekea wamekutesa sana umekuwa gaid sikuhiziKwakweli Mie nishakubuhuuuu katu sipelekeshwi na mapenzi tena😁😊!
Kuna vya kunichanganya ila sio Mapenzi!
Point!!!Kila kitu kina muda. Usifanye Jambo kisa kuwa lizisha wengine💪
Basi mi chiziii ake😂🤣🤣Umesahau ni Fuvu chogo na komwe😊!
Mie kilazaa!;
😂😂😂😂Baby😂🤣🤣🤣, pika ukapikike😂🤣
Good thing about you unajua namna ya kupenda..Kwakweli Mie nishakubuhuuuu katu sipelekeshwi na mapenzi tena!
Kwani natemaga utumbo🤣😂Point!!!
😇 Kuna theory moja huwa inaonekana kabisaaa na watu huwa hawaitilii maanani.Kabisa
Hi kauli imekaa kichawi chawi🤣😂Sina huo mpango Wala sitak ushauri 😀
Kwakweli ninawapenzwangu 8 wanatosha napumzika vya kutosha😂😂😂😂Kila kitu kina muda. Usifanye Jambo kisa kuwa lizisha wengine💪
Hapana tena nilivo na bahati za mtende sasa kwakweli hili namshukuru mungu 🕺🤸 !!Inaelekea wamekutesa sana umekuwa gaid sikuhizi
Na katika hayo matunda, Kuna walaji was Aina nyingi.😇 Kuna theory moja huwa inaonekana kabisaaa na watu huwa hawaitilii maanani.
Mti mmoja wenye matunda kila tunda huiva kwa wakati wake sio matunda yote yataiva kwa wakati mmoja. Sasa kwanini Sisi hatuna Subra ? Ukifikika umri fulani wenzako wanapata wenza wao wewe unakuwa hujapata unaanza kuwa na mastress mpaka unajiona una gundu. Kwanini usiaangalie hii theory ya mti wenye matunda? 😅
Ongeza sautiii pulllllllliiiiiiiiizzzzz 🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🤠🤠🤠🤠🤠🤠!!
Katika kila jambo ukijichanganya lazima ule za uso 🤣🤣🤣Inaelekea wamekutesa sana umekuwa gaid sikuhizi
Akili zako mbili kasoro wewe!!Kwani natemaga utumbo🤣😂
Huna mpango wa kuolewa tena 🤣🤣🤣🤣 mie nilisema lakini kuwa wee mpaka mwaka uishe ubao utasoma 0.Sina huo mpango Wala sitak ushauri 😀
Alafu Mbona Mimi sijawahi kuwaza hayo ninawaza vitu tofaut kabisa kwenye maisha😇 Kuna theory moja huwa inaonekana kabisaaa na watu huwa hawaitilii maanani.
Mti mmoja wenye matunda kila tunda huiva kwa wakati wake sio matunda yote yataiva kwa wakati mmoja. Sasa kwanini Sisi hatuna Subra ? Ukifikika umri fulani wenzako wanapata wenza wao wewe unakuwa hujapata unaanza kuwa na mastress mpaka unajiona una gundu. Kwanini usiaangalie hii theory ya mti wenye matunda? 😅
Hivi nyie wanawake mnashindwaje kuwatambua wala mbususu na waoaji?Katika kila jambo ukijichanganya lazima ule za uso 🤣🤣🤣