Mkuu Mimi usipo kuwepo nakuchungia Mali yako.Mzee was hall 5 nimechoka kupigwaaa! mkuu.
Aaliyyah usije ukawa unanichezea akili yangu haha usije ukawa naweee Ni mzee mwezangu mwenye sharbu tu.
Hapa ntalia mno kuliko maelezo
Mimi lips zimenivuta ndomana nimetangaza nia!🤣🤣🤣Nimecheka Kwamba nilikutumia picha ya dada mwenye tako kumbe sio
😂😂😂Nimefanana na jirani yanguMimi lips zimenivuta ndomana nimetangaza nia!
Sasa Kama Ni zajirani! Sitakuelewa we mtoto.
Nikitoka hijja tuMkuu Mimi usipo kuwepo nakuchungia Mali yako.
Kila kitu kipo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
wa kupuliza nimekukumbuka babu uko wapi wewe babaIvo humu akuna mdau wa mwaza nipo mpweke sana hakuna mdau nipatepo kampan leo mim napenda mziki hakuna kabisa familia ya selfika
Ntakusaka huko ushinabulandi utajuta!! tumechoka kupigwaa😂😂😂Nimefanana na jirani yangu
😂😂😂Ntakusaka huko ushinabulandi utajuta!! tumechoka kupigwaa
Aya kaniandalie kahawa! Baridi kali sana
😀Kha kuanza kunituma hata ya kutolea sijalaAya kaniandalie kahawa! Baridi kali sana
Oooh bas sawaahKijiweni changu victory,bolt
Kasema udouble na ya kutolea mnywanii unakwama wapiii nawee!!Kapachino nasemaje bila live video!! Si danganyiki!!
Antonnia mnywani huyu mtoto fanya kunipigia vetting embu.(Unajua Ni kazuri Sana)
Sasa Chino nisije ingia cha kike tena
Nakuja...Glass yako yenye 🧊 🧊 iko hapa pembeni!☺️
Aloooo umenishinda tabiaaa 🤣🤣🤣mie nimemaliza kula chikandi, uwiiiih
Ndugu naona mafusho yameanza kufanya kazi gundu bye bye😂😂😂😂Kasema udouble na ya kutolea mnywanii unakwama wapiii nawee!!
Wee zubaazubaaa utashangaa wana wanabeba mtrotro mkareee huyo usiseme sijakualert 😊😊!