mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,284
- 71,961
wanawake ndo mna nguvu kwenye hayo mambo....Sio hawa wanaume wa bongo
Kidogo tu baada ya date wanataka kula mzigo .
as long as hauko geto kwake the odds are in your favour
wanawake ndo mna nguvu kwenye hayo mambo....Sio hawa wanaume wa bongo
Kidogo tu baada ya date wanataka kula mzigo .
kwanini sasa uko single na mahela yote hayoMdogo usimpangie mkubwa wako cha kufanya 😂😂😂
Dating sucks trust meNaweza nikawa niliikuwa wrong but Ujumbe umekufikia kwa uzuri kabisa 😂😂😂
Sipo Mali sana but ndio himo humo. At least leo nimejaribu kuongeza kitu kipya kwenye mindset yakoNimeenda boarding 2004 lol 😂😂😂
Fwala sana we Dogo 🤣🤣🤣kwanini sasa uko single na mahela yote hayo
Exactly hawezi kukulazmishawanawake ndo mna nguvu kwenye hayo mambo....
as long as hauko geto kwake the odds are in your favour
Mtunzie tunda lake yule ambaye alichomolewa ubavu wake ukaongezewa wewe. Don't fall in trapsDating sucks trust me
Mnapotezeana muda tu, aje ale tunda na kukuacha , so sad .
Yeah kweli kabisaSipo Mali sana but ndio himo humo. At least leo nimejaribu kuongeza kitu kipya kwenye mindset yako
vipi kuhusu nyie kuomba hela hata hamjajuana vema.....Exactly hawezi kukulazmisha
Ila wanaume mna haraka uwii
Baada ya first date mnataka tunda .. Hata hamjajuana vyema .
Mtunzie tunda lake yule ambaye alichomolewa ubavu wake ukaongezewa wewe. Don't fall in traps
Both team to scorevipi kuhusu nyie kuomba hela hata hamjajuana vema.....
Tafuta hela tu mdogo wangu halafu ukitoa usitarajie malipo toa kwa roho safi tu 😂😂😂vipi kuhusu nyie kuomba hela hata hamjajuana vema.....
Hehhe nani huyo 😂😂😂Mtunzie tunda lake yule ambaye alichomolewa ubavu wake ukaongezewa wewe. Don't fall in traps
Sijui umenielewaaaa 😬😬😬😬Unadhani ana kovu usoni kwamba utanote ndiye??
Tulieni hapo
Mliwe na mle
Heheeeee
Hudumieni tu nyie mpate tunda msilalalamike 😂😂😂vipi kuhusu nyie kuomba hela hata hamjajuana vema.....
Atakuja tu mtu sahihi, Uliyemtunzia ubavu wake ambaye hana papara na tunda. Tunda ni kitu cha ziada sana kwenye mahusiano. Mtu anayekupenda hawezi kutanguliza tamaa ya kula tunda huyo atakuwa na tamaa. Alafu tamaa yenyewe hata dk 10 haizidi ,😂😂😂Hehhe nani huyo 😂😂😂
Sawaa , thank you .
Umeongea maneno magumu kwa mtoto 🤣🤣🤣Hudumieni tu nyie mpate tunda msilalalamike 😂😂😂
Well saidAtakuja tu mtu sahihi, Uliyemtunzia ubavu wake ambaye hana papara na tunda. Tunda ni kitu cha ziada sana kwenye mahusiano. Mtu anayekupenda hawezi kutanguliza tamaa ya kula tunda huyo atakuwa na tamaa. Alafu tamaa yenyewe hata dk 10 haizidi ,😂😂😂
Muelekeze basi aeleweUmeongea maneno magumu kwa mtoto 🤣🤣🤣