mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,767
na wewe uende kwenye dates acha ubachela😀Huyu Miss ni Broken heart 💔
Hata kama ataenda date bado yule aliyemtoa date ataishia kuboeka tu.
na wewe uende kwenye dates acha ubachela😀Huyu Miss ni Broken heart 💔
Hata kama ataenda date bado yule aliyemtoa date ataishia kuboeka tu.
Hamna hataaMakuzi yako ya Utotoni ulidekezwa sana 😂😂😂😂
Anza ku move on.
Dunia hii haitaki watu wenye attitude kama zako ulizo nazo Sasa hivi
Sio hawa wanaume wa bongohamna unatoka tu kwenye comfort zone
afu sio lazima iwe ya kimahaba una kula upepo tu
Mdogo usimpangie mkubwa wako cha kufanya 😂😂😂na wewe uende kwenye dates acha ubachela😀
Sijazikataa sema nnUnajichanganya mwenyewe 🤣🤣🤣
Mimi najaribu kukuweka sawa we unapinga . Umezikataa dates hapo juu halafu Sasa hivi unasema Niko wrong
Boarding za Miaka ya 2007 ? 😂😂😂Hamna hataa
Nilienda boarding nikiwa la tatu , hakuna kudekezwa wala nn .
Kuwa positive sana ni nzuri maana hata upitie changamoto ngapi bado utasonga mbele .
Hii ni trait nahisi si rahisi kutoka hivyo .
Naweza nikawa niliikuwa wrong but Ujumbe umekufikia kwa uzuri kabisa 😂😂😂Sijazikataa sema nn
Nyingine hata sio dates ni kupotezeana muda tu .
Nimeenda boarding 2004 lol 😂😂😂Boarding za Miaka ya 2007 ? 😂😂😂
Kama upon kwa Wazazi
wanawake ndo mna nguvu kwenye hayo mambo....Sio hawa wanaume wa bongo
Kidogo tu baada ya date wanataka kula mzigo .
kwanini sasa uko single na mahela yote hayoMdogo usimpangie mkubwa wako cha kufanya 😂😂😂
Dating sucks trust meNaweza nikawa niliikuwa wrong but Ujumbe umekufikia kwa uzuri kabisa 😂😂😂
Sipo Mali sana but ndio himo humo. At least leo nimejaribu kuongeza kitu kipya kwenye mindset yakoNimeenda boarding 2004 lol 😂😂😂
Fwala sana we Dogo 🤣🤣🤣kwanini sasa uko single na mahela yote hayo
Exactly hawezi kukulazmishawanawake ndo mna nguvu kwenye hayo mambo....
as long as hauko geto kwake the odds are in your favour
Mtunzie tunda lake yule ambaye alichomolewa ubavu wake ukaongezewa wewe. Don't fall in trapsDating sucks trust me
Mnapotezeana muda tu, aje ale tunda na kukuacha , so sad .
Yeah kweli kabisaSipo Mali sana but ndio himo humo. At least leo nimejaribu kuongeza kitu kipya kwenye mindset yako
vipi kuhusu nyie kuomba hela hata hamjajuana vema.....Exactly hawezi kukulazmisha
Ila wanaume mna haraka uwii
Baada ya first date mnataka tunda .. Hata hamjajuana vyema .
Mtunzie tunda lake yule ambaye alichomolewa ubavu wake ukaongezewa wewe. Don't fall in traps
Both team to scorevipi kuhusu nyie kuomba hela hata hamjajuana vema.....