Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Dates ziko wapi ๐๐๐itabidi utoke out uanze kwenda kwenye dates....
Labda self dates
Dates ziko wapi ๐๐๐itabidi utoke out uanze kwenda kwenye dates....
Makuzi yako ya Utotoni ulidekezwa sana ๐๐๐๐Sitaki aisee , mule wamezidi duh .
Nalinda my mental well being , so it's important for me kusoma vitu positive tu .
Yani mie hata ukiniambia cha kutisha sitaki .
I need to protect myself .
Ndio maana Nika react kwa masikitiko. Huyo hawezi even to cure your heartDates ziko wapi ๐๐๐
Labda self dates
ah weee....Dates ziko wapi ๐๐๐
Labda self dates
Sahihi sema humu mtandaoni ni noma ...Usipendelee kusikia Yale unayoyata Wewe mwenyewe. Ili ukomae Kihisia na Kiakili ni lazima mambo yote uwe tayari kuyasikia na kuyapitia ๐๐๐
Miss Tins
Hahahaha sio mbayaNdio maana Nika react kwa masikitiko. Huyo hawezi even to cure your heart
Huyu Miss ni Broken heart ๐ah weee....
unataka kuniambia hamna watu wanatuma maombi??
Watoke wapi ๐๐๐ah weee....
unataka kuniambia hamna watu wanatuma maombi??
Hapana you're wrongHuyu Miss ni Broken heart ๐
Hata kama ataenda date bado yule aliyemtoa date ataishia kuboeka tu.
Jikubali bhana hata kama una muonekano kama wa Whoopi Goldberg. ( Mwalimu wa Sarafina)๐คฃ๐คฃ๐คฃWatoke wapi ๐๐๐
Hahhahah sitaki bhana usije sema im picky sijui nini .
hamna unatoka tu kwenye comfort zoneusije sema im picky
Unajichanganya mwenyewe ๐คฃ๐คฃ๐คฃHapana you're wrong
Im not boring during dates , ni mimi kuamua tu niwe na mood gani ๐๐.
na wewe uende kwenye dates acha ubachela๐Huyu Miss ni Broken heart ๐
Hata kama ataenda date bado yule aliyemtoa date ataishia kuboeka tu.
Hamna hataaMakuzi yako ya Utotoni ulidekezwa sana ๐๐๐๐
Anza ku move on.
Dunia hii haitaki watu wenye attitude kama zako ulizo nazo Sasa hivi
Sio hawa wanaume wa bongohamna unatoka tu kwenye comfort zone
afu sio lazima iwe ya kimahaba una kula upepo tu
Mdogo usimpangie mkubwa wako cha kufanya ๐๐๐na wewe uende kwenye dates acha ubachela๐
Sijazikataa sema nnUnajichanganya mwenyewe ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mimi najaribu kukuweka sawa we unapinga . Umezikataa dates hapo juu halafu Sasa hivi unasema Niko wrong
Boarding za Miaka ya 2007 ? ๐๐๐Hamna hataa
Nilienda boarding nikiwa la tatu , hakuna kudekezwa wala nn .
Kuwa positive sana ni nzuri maana hata upitie changamoto ngapi bado utasonga mbele .
Hii ni trait nahisi si rahisi kutoka hivyo .
Naweza nikawa niliikuwa wrong but Ujumbe umekufikia kwa uzuri kabisa ๐๐๐Sijazikataa sema nn
Nyingine hata sio dates ni kupotezeana muda tu .
Nimeenda boarding 2004 lol ๐๐๐Boarding za Miaka ya 2007 ? ๐๐๐
Kama upon kwa Wazazi