Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante dear
Eh niliteleza wakati navuka road aisee .. Nikajikuta niko chini gari hilo , namshukuru Mungu .

Hakuna kitu kinauma kama vidole ,nilivaa wigi nikavua ghafla sijui lilienda wapi
nimechekaaa sanaaa, woiiiiih
 
Yeah someone to care for you, akuambie jinsi anavyokupenda .
Anavyotaka mzeeke pamoja .

Awwwh this is so sweet jamani , love is a beautiful thing ever .
Ndo wee utafute sasa mie niwe MC, watu wale ubwabwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…