Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahhaa na Chamanzi je
Kuna vyumba unasema jamani duh

Wakati naanza kupanga nilitamani kukaa Mbagala aisee
Life la kule wanasema ni rahisi tofauti na kwingine huku
Yes.

Chamazi mbagala wanalife rahisi sanaa.

Asubuhi mihogo yakukaanga mchana ugali dagaaa na pilipili. Yani kila nyumba Kwa nje either wanakaanga dagaa Mchele au mihogo asuhubi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes.

Chamazi mbagala wanalife rahisi sanaa.

Asubuhi mihogo yakukaanga mchana ugali dagaaa na pilipili. Yani kila nyumba Kwa nje either wanakaanga dagaa Mchele au mihogo asuhubi

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko raha aiseee
Vitu vingi bei chee , huku kwingine ni kuvumilia tu

Vyumba vizuri sana kwa sie tunaanza maisha panafaa huku ukiijpanga .
 
Tuna haraka sana,halafu huu udereva husomei ,nikufundishana tu kitaani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuna haraka sana,halafu huu udereva husomei ,nikufundishana tu kitaani
Wengi wenu ni vichaa
Akili si zao tena.

Yaani wapo rafu mno,
Kila ninapopita pale makumbusho ile junction ya stand,nakutaga bodaboda amebutua gari
Mara kajivaa kwenye gari anavuja damu.


Taa zimewashwa nyekundu,yeye anaenda kupita.
Unajiuliza hivi huyu akili yake iko sawa kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…