Nilikuwa na msimamo kama wa joanah ila naona shetani ananizidi nguvu!
Seriously kuna wakati natamani kuonana na watu kwa ajili ya kupeana mawazo ya maendeleo, najua humu hatulingani, humu kuna watu wenye connection mob! Ila wasi wasi wangu ni je, hawa watu tutaendana kitabia?!
naisubiri loveSoon babe
hapana hutakiwi kuwa hivyo marafiki wema, wenye upendo na kujali utu tupo joanahSakayo mie kuangalia mwandiko wa nani ni mwema na wa nani sio mwema sijui kwasababu kuna pretenders wengi
Jambo ambalo nazidi kujifunza ni kutrust nobody
Napenda sana kuwa na marafiki,lakini mimi sio risk taker enough kuanza urafiki na mtu wa humu hadi kukutana nae
Nina moyo mwepesi sana wa kuumia,jambo dogo linaweza kuniumiza sana
So ni heri kubaki tusiojulikana ili kustay away from trouble na kuumia
Karibuni tupate neno la uzima.View attachment 1274278
Ofcourse kuna mkaka mmoja nilikuwaga namuelewa kuanzia tuko form three hadi tunamaliza form six,, halafu nilikuwaga sina hata story naye nilikuwa namuonea aibuwakati miaka yote hiyo minne hatujawahi kusoma madarasa tofauti yaani tulijikuta tunasoma darasa moja hadi tunamaliza..
Na alikuwa back bencher wakati mie nilikuwa front bencher basi alikuwa akija mbele kuniongelesha nilikuwa nahisi kama kamoyo kameruka mapigo kadhaa,, ilikuwaga ni siri yangu ila kuna siku nilijisahau nikawaambia marafiki zangu bwenini nikaja kushituka taarifa zimesambaanikawa nawaza sijui atakuwa kajua..
Lakini hatukuwahi kuambiana chochote,, zaidi ya kuishia kupiga tu story za kawaida za hapa na pale..
Utoto bwana,, siku hizi namuona tu instagram amekuwa a fine young lad not a boy anymore..
Nafikiri mpaka uwe rafiki na mtu mshazoeana zaidi ya comments za jukwaani!!Sakayo mie kuangalia mwandiko wa nani ni mwema na wa nani sio mwema sijui kwasababu kuna pretenders wengi
Jambo ambalo nazidi kujifunza ni kutrust nobody
Napenda sana kuwa na marafiki,lakini mimi sio risk taker enough kuanza urafiki na mtu wa humu hadi kukutana nae
Nina moyo mwepesi sana wa kuumia,jambo dogo linaweza kuniumiza sana
So ni heri kubaki tusiojulikana ili kustay away from trouble na kuumia
Karibuni tupate neno la uzima.View attachment 1274278
Wewe ulivyo muoga mimi niko na nafuu akiHivi mimi na wewe tulizaa bila kumeet..?
Hakika hakuna mwanaume anaweza weka picha ya mdada wa JF jukwaani kabisaa!Wavulana is the damn right word....
Hebu nitumie jamani kaka, niko na kiuuHembu agiza togwa hapo
HahahahahahHahahaa..
Kama nakuona unavyobadilisha laini za simu
...
Tabia ya kula kalamu sio nzuriii dearKaribuni tupate neno la uzima.View attachment 1274278
Lunch time...wapi kuko na lunch buffet poa?
Nikaipimie next time nimualike mdada mmoja wa jeiefu ili awe shuhuda kuwa jeiefu iko na wanaume poa piaView attachment 1274280
Nitajitahidi niache dearTabia ya kula kalamu sio nzuriii dear
Kwa Kweli mi nimekutana na masela wengi humu JF na Kwa Kweli tumepiga deal za maana na wengine tupo kwenye magroup ya WhatsApp tunajifunza mambo kibao kutoka Kila mmoja wetu. Nimewahi unganishwa kazi kadhaa na hela ndefu tu, JF sio mchezo, Au ni mimi tu ndio lucky