Selfika na JF: Snap it. Show it

Duh!! Pole japo zamani .
 
Aisee....
 
Bro sasa si ndo akanipa ile infinix
Eti weka laini humu nikutumie picha uvimbe status.
Wai kuishika simu haina tofuti na mche wa sabuni 😂😂😂
Si ndo nikazingiziia haipeleki moto
Ila atakuwa alielewa tu sjaipenda
Aisee..
 

Hii huwa inakuwa ni incidence tu na kukabwa au kuibiwa hakutabiriki, Kuna siku nimetoka zangu maeneo ya Africa Sana, mida ya usiku wa saa 6 nikabeba na chupa kabisa mkononi nikajiambia wakitokea tu hapa naruka nao. Nikakaribia kabisa na Home nikaitupa ile Chupa dk 1 tu hawa hawa na mapanga. walinichukulia kila kitu na Wallet wakanirudishia.
 
Mapanga duuh aki nahisi ningezimia hapo hapo kwanza then wangeniibia kwa amani😂

Pole sana, vibaka sio watu poa kabisa
 
Mapanga duuh aki nahisi ningezimia hapo hapo kwanza then wangeniibia kwa amani😂

Pole sana, vibaka sio watu poa kabisa
Ndio taifa letu hili limeshindwa kuja na mkakati wa kudhibiti au kupunguza haya matukio, zanzibar hizi mambo hazipo, lakini hapa Dar ni shida na Vibaka wanakuwa wanajulikana kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…