myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Duh!! Pole japo zamani .Niliwahi ibiwa pochi ilikua na kila kitu sema ilikua saa 6 usiku sijui nilikua najiamini nini kutembea usiku ule mwenyewe😅
Walinikomesha ila walinifundisha somo zuri🤣 maana since then hunikuti naranda nje usiku bila sababu za msingi
Laiti ningetumia hyo style simu yangu ingepona maana sikua na cash kwa pochi so kilichoniuma ni simu.
Aisee....Yan simu unaiwekaje kwa mkanda wa bra? Si itatuna?
Nilikuwa na tabia kama nimevaa suruali naiweka mfuko wa nyuma. Mara nyingi skin jeans hazinaga mifuko mbele.
Au kama ni bag naweka kale ka mfuko ka nje.. yan nilikuwa naishi as if raia wote nimezaliwa nao.
Siku 1 pale Impala.. nipande hiace za Njiro kama kawaida simu iko pembeni ya begi. Mpiga debe akaichomoa hata sijasikia 😄😄
Nikazama kwa Hiace, kumbe kuna abiria alimuona.
Basi nimeingia nimekaa, yule kaka akaniuliza simu yako iko wapi? Si ndo nacheck mifuko ya pembeni ya bag siioni.
Mara yule kaka akamwambia yule mpiga debe wewe rudisha hiyo simu sahivi kabla sijashuka...
ikarudi... basi nikamshukuru mkaka wa watu.,. Nikamlipia na nauli ☺️
Tokea hapo, nimekoma huo mtindo.
Aisee..Bro sasa si ndo akanipa ile infinix
Eti weka laini humu nikutumie picha uvimbe status.
Wai kuishika simu haina tofuti na mche wa sabuni 😂😂😂
Si ndo nikazingiziia haipeleki moto
Ila atakuwa alielewa tu sjaipenda
Umekoma kivipi ?Nimekoma😂🙌
🤣 kweli, nyonyo muhimu kuliko.🤣🤣🤣🤣🤣
Na nyonyo likiondoka ni hasara kuliko makorokoro yanayonunulika.
Yeahh....be more careful, maana ndugu zangu wanaonekana wameongeza ukorofi.🥴
Niliwahi ibiwa pochi ilikua na kila kitu sema ilikua saa 6 usiku sijui nilikua najiamini nini kutembea usiku ule mwenyewe😅
Walinikomesha ila walinifundisha somo zuri🤣 maana since then hunikuti naranda nje usiku bila sababu za msingi
Laiti ningetumia hyo style simu yangu ingepona maana sikua na cash kwa pochi so kilichoniuma ni simu.
Umekoma kivipi ?
🤣🤣🤣🤣
Sijakoma bhana nikome vipi Yan hapa had mmoja akufe ndo nitakoma😂😂Umekoma kivipi ?
🤣🤣🤣🤣
Asante sana jiraniDuh!! Pole japo zamani .
Huwa nahisi hizi bia ni kwa mabinti tu, kumbe hata masela wanazinywa?
Sijakoma bhana nikome vipi Yan hapa had mmoja akufe ndo nitakoma😂😂
Nitakujibu tulia 😀Mbona haujibu vizuri? Hukomi nini ? 😀
Mapanga duuh aki nahisi ningezimia hapo hapo kwanza then wangeniibia kwa amani😂Hii huwa inakuwa ni incidence tu na kukabwa au kuibiwa hakutabiriki, Kuna siku nimetoka zangu maeneo ya Africa Sana, mida ya usiku wa saa 6 nikabeba na chupa kabisa mkononi nikajiambia wakitokea tu hapa naruka nao. Nikakaribia kabisa na Home nikaitupa ile Chupa dk 1 tu hawa hawa na mapanga. walinichukulia kila kitu na Wallet wakanirudishia.
Nikifa utafaidika vipi???🙄🙄🙄🙄Sawa, utapewa adhabu ya kupika na kula ugali kilo 1, pekeako 😂😂😂
Hahahaha, kumbe zile vocha za humu huwa zinatumwa kwa style hii,dah kazi ipo
Ndio taifa letu hili limeshindwa kuja na mkakati wa kudhibiti au kupunguza haya matukio, zanzibar hizi mambo hazipo, lakini hapa Dar ni shida na Vibaka wanakuwa wanajulikana kabisaMapanga duuh aki nahisi ningezimia hapo hapo kwanza then wangeniibia kwa amani😂
Pole sana, vibaka sio watu poa kabisa