Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Duuh hivi aliyejiunga 2014 naye bado ni new comer??
Halafu nasikia eti zamani mlikuwa mnaandaa party mnakutana bila kujuana ni kweli??
Miandiko kwangu hapana
Nilikuwa na msimamo kama wa joanah ila naona shetani ananizidi nguvu!
Seriously kuna wakati natamani kuonana na watu kwa ajili ya kupeana mawazo ya maendeleo, najua humu hatulingani, humu kuna watu wenye connection mob! Ila wasi wasi wangu ni je, hawa watu tutaendana kitabia?!
Naomba nikuchomolee betri joanah ili ubadilishe I'd 😁😁😁
HukuniTag....tupiamo jamani
Yeah!uko very lucky au labda sababu wewe ni mwanaume manake mabetri ya humu ni sisi wa kike tuHahah!!!
Dah hivi sasa mimi ningekuwa na IDs ngapi nimezi abandon since 2010...nadhani hata 20 zingefika...uuunh maybe all this time i've been lucky!
Ndio ndio...kinachotokea vegas kinabaki huko huko vegas humu mnakua strangers
Tatizo la mtu kukuanika humu kwa ID mpya ni la mtu ambaye kwanza hajakuwa na hajielewi kabisaa!!!Mwenyezi Mungu anijaalie msimamo wangu uwe huu huu siku zote,miaka yote hadi nitakapoacha kutumia hii JF
Tatizo la humu unaweza kukutana na lets say ID ya Sakayo Watu8 Karma Depal Hawachi labda na Khantwe
Sasa unakuja kushangaa anayekuja kukuexpose jukwaani ni ID mpya kabisaaaa tofauti na hizo sita ulizowahi kumeet nazo....hapo ndio unapata kizunguzungu unaanza kubet sijui nani kati ya hao atakuwa kanianika?!!
Sasa why upate shida zote hizo?
JamaaaniiiChat na picha bhas
Wadada hii kitu hawawezi mkuu
Kwa sababu uko smart my dear!!Hahah!!!
Dah hivi sasa mimi ningekuwa na IDs ngapi nimezi abandon since 2010...nadhani hata 20 zingefika...uuunh maybe all this time i've been lucky!
Maybe...JoYeah!uko very lucky au labda sababu wewe ni mwanaume manake mabetri ya humu ni sisi wa kike tu
Labda uko na bahati mkuu... Nyie wenyewe kwa wenyewe hamnaga shida, sasa issue inakuwaga me na ke!Kwa Kweli mi nimekutana na masela wengi humu JF na Kwa Kweli tumepiga deal za maana na wengine tupo kwenye magroup ya WhatsApp tunajifunza mambo kibao kutoka Kila mmoja wetu. Nimewahi unganishwa kazi kadhaa na hela ndefu tu, JF sio mchezo, Au ni mimi tu ndio lucky
Tatizo la mtu kukuanika humu kwa ID mpya ni la mtu ambaye kwanza hajakuwa na hajielewi kabisaa!!!
Joanah nafikiri hilo unalijua sana tuu kutokana na watu unavyowaona pm! Miandiko tuu inatosha kukuambia tabia ya mtu!
Lengo la kufahamiana huwa ni la watu wawili, kama ni urafiki ni siri yenu ila ambalo huja kuleta shida ni mahusiano yakiingia kati hasa wale wasiojitambua dear!!!
Kwa sababu uko smart my dear!!
Halafu hili la kuanikana sijawahi ona wadada wakifanya hivyo! Mara mob ni wavulana ndo wako na huo mchezo!
Kwa sababu uko smart my dear!!
Halafu hili la kuanikana sijawahi ona wadada wakifanya hivyo! Mara mob ni wavulana ndo wako na huo mchezo!
Tatizo la mtu kukuanika humu kwa ID mpya ni la mtu ambaye kwanza hajakuwa na hajielewi kabisaa!!!
Joanah nafikiri hilo unalijua sana tuu kutokana na watu unavyowaona pm! Miandiko tuu inatosha kukuambia tabia ya mtu!
Lengo la kufahamiana huwa ni la watu wawili, kama ni urafiki ni siri yenu ila ambalo huja kuleta shida ni mahusiano yakiingia kati hasa wale wasiojitambua dear!!!