Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tatizo lako unalalaga alone and lonely, embu tuone kama utachoka tena [emoji23]
Haijalishi mlala kikundi Cha watu

Ukishalala zaidi ya masaa12 , lazima mgongo uume..


Mara nyingi nikilala saa2, kufika saa2 kesho yake lazima niamke maana mgongo unakuwa umechoka.


Kaka eti Fei toto anapumzika baada ya kupiga domo sana.
 
Our JF CEO n his Douta!!
[emoji178][emoji178][emoji178]
FB_IMG_16866575730977863.jpg
 
Haijalishi mlala kikundi Cha watu

Ukishalala zaidi ya masaa12 , lazima mgongo uume..


Mara nyingi nikilala saa2, kufika saa2 kesho yake lazima niamke maana mgongo unakuwa umechoka.


Kaka eti Fei toto anapumzika baada ya kupiga domo sana.
Mnafiki, alisema anahangaika haki za wachezaji wazawa, alivyopata yake tu anaenda kupumzika na hela zetu [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom