cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Mie nafaidi anapost status tsup, bas na view tyuuh.Hee
Hebu tuone picha yake
Au ngoja tumwite Maxence Melo mwenyewe atuwekee
Uzi ni wa selfika.
Melo njoo basi
Ni namba E OG kabisaAunt labda namba E ya mchongo😂
Kitandaa kipo chini mnoo, afu bapa LA kichwani lingepanda juu tena



YaaniIyo shule gani inayokaidi maagizo ya wazir wa elimu![]()
Kitandaa kipo chini mnoo, afu bapa LA kichwani lingepanda juu tena
![]()



Wacha weeMie nafaidi anapost status tsup, bas na view tyuuh.
Ilikua siku ya pasaka walikua mtoko, alipost hatariii.
Mkewe mzuri balaa, chocolate colour

Pisi ya kisabato hiyoooo 🤣🤣🤣Kuna watu wanafaidi jaman
Nakuja kukuchukua hapo njiapanda yudizimTag locs bas,![]()
Akipost tena nta screenshotWacha wee
Hebu tuone iba status yake![]()
Mbona hujani DM mtoko wenu na Bobby ?
Wapii mawasiliano, au ubungo??Nakuja kukuchukua hapo njiapanda yudizim
Poleni sanaYaani
Wanataka tu hela
Sema wetu tunataka aanze la kwanza
Ndo maana tumemuacha aendelee kusoma
Ila wiki hii ndo wanafunga.
Muache Boss wetu, si am follow IG au am request FB mbona hana baya Boss Melo ?Akipost tena nta screenshot
Aya bhana 😀Ni namba E OG kabisa
Aunt umeanza lini kuninyanyasa 😭😭😭linaogopeshaaa.