mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,936
nasikitika sana...😂 sijawahi kukuona ukila dagaa
nasikitika sana...😂 sijawahi kukuona ukila dagaa
Sijui zina matatizo ganiMbona hazijanyooka
Nilazima kula dagaaa? 😂😂nasikitika sana...😂 sijawahi kukuona ukila dagaa
Feki hizoSijui zina matatizo gani
unakula sausage na nini wewe?
Serious nimenunua pack mbilFeki hizo
Na matunda bas tu nimechoka kuanza kupika pikaunakula sausage na nini wewe?
Em tuoneSerious nimenunua pack mbil
Mlishapata mishono boss lady?Usijareee dear Kitambaa au kitenge??? Mama Pasta yuko vizure kwenye miongozo ya mishono
Mwanaume wa Dar heeeNa matunda bas tu nimechoka kuanza kupika pika
KweliSo far hata ulaji wa nyama na mayai upo chini saana Kwa watz.
🤣🤣🤣🤣Sumu ni ile ile, haya chukua mademu hwaoioooView attachment 2646917
Kitu teketeke 😅daaaah qmmmmmmq
Halafu madogo wamekuwa walaini sana unakuta toto la kiume lina mapaja laini kama demuYeah ni kweli, miaka yetu wakati tunakuwa, hayo mambo ya Burger sijui Pizza hayakwepo kabisa.
Sikuhizi ni kawaida kumkuta dogo wa class V ana kilo 60 kutokana na hayo mavyakula.
Dokta Issac Ndodi alikuwa anasema Turudi Edeni 😜
uko na dietNa matunda bas tu nimechoka kuanza kupika pika
one minute man 😂Mwanaume wa Dar heee