Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

5f766b09-22e4-4dd6-8a13-7b3a00f07105.jpg
 
Yeah ni kweli, miaka yetu wakati tunakuwa, hayo mambo ya Burger sijui Pizza hayakwepo kabisa.

Sikuhizi ni kawaida kumkuta dogo wa class V ana kilo 60 kutokana na hayo mavyakula.

Dokta Issac Ndodi alikuwa anasema Turudi Edeni 😜
Halafu madogo wamekuwa walaini sana unakuta toto la kiume lina mapaja laini kama demu
 
Back
Top Bottom