Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Maziwa Kwa afyaa. Safi saana. Mkuu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sana Mkuu, ukisoma maelekezo ya watu wa afya, wanataka kila mtu anywe maziwa lita 200 kwa mwaka, yaani wastani wa nusu lita kwa siku.

Juzi nilisikia ripoti kwenye kilele cha siku ya unywaji wa maziwa, inaonesha Unywaji umepungua miongoni mwa Watanzania.

Hii inaweza kuchangia afya za watoto na watu wazima kudolola.
 
Sana Mkuu, ukisoma maelekezo ya watu wa afya, wanataka kila mtu anywe maziwa lita 200 kwa mwaka, yaani wastani wa nusu lita kwa siku.

Juzi nilisikia ripoti kwenye kilele cha siku ya unywaji wa maziwa, inaonesha Unywaji umepungua miongoni mwa Watanzania.

Hii inaweza kuchangia afya za watoto na watu wazima kudolola.
Mkuu maisha yamekuwa tough saana Kwa watanzania wengi. Hahaha watanzania tunatamani tunywe maziwa Ila pesa ya maziwa ndio hiyo hiyo ya bundle la kuingilia selfika.

So far hata ulaji wa nyama na mayai upo chini saana Kwa watz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu maisha yamekuwa tough saana Kwa watanzania wengi. Hahaha watanzania tunatamani tunywe maziwa Ila pesa ya maziwa ndio hiyo hiyo ya bundle la kuingilia selfika.

So far hata ulaji wa nyama na mayai upo chini saana Kwa watz.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli life ni gumu, lakini tunapopata nafasi tusiache kuupendelea mwili.

Unaweza kutenga elfu 30 walau kununua lita 10 za maziwa kila mwezi ili watoto wawe wanakunywa.
 
Ni kweli kabisaa.

Hawa watoto wasikuhizi burger na chips ndio maana allergy haziwaishi

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ni kweli, miaka yetu wakati tunakuwa, hayo mambo ya Burger sijui Pizza hayakwepo kabisa.

Sikuhizi ni kawaida kumkuta dogo wa class V ana kilo 60 kutokana na hayo mavyakula.

Dokta Issac Ndodi alikuwa anasema Turudi Edeni 😜
 
Back
Top Bottom