Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,849
- 57,527
Umefanya hadi nikasahau Mkongojo wangu🧑🦯😄Taratibu babu hio speed usijedondoka babuuu etuu!!
Umefanya hadi nikasahau Mkongojo wangu🧑🦯😄Taratibu babu hio speed usijedondoka babuuu etuu!!
😍😍 Klayanti adumuDepal klayanti kasema ninunue ☕️ ya kutosha ili niendelee kuamka alfajir mpaka kazi iishe!😵
View attachment 2647243
Sana Mkuu, ukisoma maelekezo ya watu wa afya, wanataka kila mtu anywe maziwa lita 200 kwa mwaka, yaani wastani wa nusu lita kwa siku.
Mkuu maisha yamekuwa tough saana Kwa watanzania wengi. Hahaha watanzania tunatamani tunywe maziwa Ila pesa ya maziwa ndio hiyo hiyo ya bundle la kuingilia selfika.Sana Mkuu, ukisoma maelekezo ya watu wa afya, wanataka kila mtu anywe maziwa lita 200 kwa mwaka, yaani wastani wa nusu lita kwa siku.
Juzi nilisikia ripoti kwenye kilele cha siku ya unywaji wa maziwa, inaonesha Unywaji umepungua miongoni mwa Watanzania.
Hii inaweza kuchangia afya za watoto na watu wazima kudolola.
Masela wote tupo pamoja😅Ole wako wako utukatae, Afu uje hospital utukute. Tutakufanyia hivi🤣🤣🤣😂View attachment 2647881
daaaah qmmmmmmqKula chuma hiko kwanzaa 🤓🤓🤓
View attachment 2647242
Ni kweli life ni gumu, lakini tunapopata nafasi tusiache kuupendelea mwili.Mkuu maisha yamekuwa tough saana Kwa watanzania wengi. Hahaha watanzania tunatamani tunywe maziwa Ila pesa ya maziwa ndio hiyo hiyo ya bundle la kuingilia selfika.
So far hata ulaji wa nyama na mayai upo chini saana Kwa watz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisaa.Ni kweli life ni gumu, lakini tunapopata nafasi tusiache kuupendelea mwili.
Unaweza kutenga elfu 30 walau kununua lita 10 za maziwa kila mwezi ili watoto wawe wanakunywa.
Burger na chips hazina uhusiano na allergy, upuuzweNi kweli kabisaa.
Hawa watoto wasikuhizi burger na chips ndio maana allergy haziwaishi
Sent using Jamii Forums mobile app





Yeah ni kweli, miaka yetu wakati tunakuwa, hayo mambo ya Burger sijui Pizza hayakwepo kabisa.Ni kweli kabisaa.
Hawa watoto wasikuhizi burger na chips ndio maana allergy haziwaishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kupuuzwa!! 🤣🤣Burger na chips hazina uhusiano na allergy, upuuzwe
Cc LenieYeah ni kweli, miaka yetu wakati tunakuwa, hayo mambo ya Burger sijui Pizza hayakwepo kabisa.
Sikuhizi ni kawaida kumkuta dogo wa class V ana kilo 60 kutokana na hayo mavyakula.
Dokta Issac Ndodi alikuwa anasema Turudi Edeni![]()
Mbona kupuuzwa!!![]()
Watu tuna aleji na makande huku



Huyo hawezi kuelewa, kila siku lazima apige Pizza 🍕 mbili ndiyo alale 😜🏃🏃
Sio kweli bana
Na pepsi bariiiiidi😋Huyo hawezi kuelewa, kila siku lazima apige Pizza 🍕 mbili ndiyo alale 😜🏃🏃
Mpeleke pizza hurt pale ya mikocheni au mlimanNa pepsi bariiiiidi😋
Na mbona sina hizo allergy au manyama uzembe, nyie acheni kupotosha umma.