Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
🤣🤣🤣Bro utukumbuke na masela😂🤣🤣,
🤣🤣🤣Bro utukumbuke na masela😂🤣🤣,
Dah ile ya unywele na kisura Ni tamu😜🤣🤣Senkyuu kichaaa akee..
hii ndio tamu banaaa!! Mnatuchamba sanaaa kisa Avatar fekii hizi 😂😂
SI ndo tutakubeba ujue🤣😂😂🤣
Wazee tunashauriwa kunywa maziwa kwa wingi ili kuongeza kinga za mwili🤗Maziwaa kwa afyaaaaa !! Safi sanaaa babu!!
Kile sio changuu hiki ndio kisura changu sasa!! 😁😁😁😂!!Dah ile ya unywele na kisura Ni tamu😜🤣🤣
Naelewa umuhimu wa masela😅SI ndo tutakubeba ujue🤣😂😂🤣
Wazee tunashauriwa kunywa maziwa kwa wingi ili kuongeza kinga za mwili🤗
Ninyi Vijana mnashauriwa kunywa maziwa lakini msisahau kula nyama.
Wine mnatakiwa kunywa glass 1 kila wiki, tena ile Wine nyekundu 🍷
Wala haipendwi sura, tunapenda Moto😂😜🤣🤣Kile sio changuu hiki ndio kisura changu sasa!! 😁😁😁😂!!
Kwamba hiki unaona unachat na Asha Ngedere?!😁😁😂
Sasa ndio mniwache na avatar yanguu mieee 😊!!Wala haipendwi sura, tunapenda Moto😂😜🤣🤣
Ila wengine zile Wine nyekundu zinakimbilia nanii kule nanii......kwahiyo vyema unywe Mjeshi akiwa amerudi 🏃🏃Kunbeeh?? Kweli panapo wazee hakiharibiki kituuu..
Wabheja sana babuu
Ole wako wako utukatae, Afu uje hospital utukute. Tutakufanyia hivi🤣🤣🤣😂Naelewa umuhimu wa masela😅
Wala huyo SI wewe🤣😂😂Sasa ndio mniwache na avatar yanguu mieee 😊!!
Ahaaaa kuuuuumbeeeehh!! Hahahaa..Ila wengine zile Wine nyekundu zinakimbilia nanii kule nanii......kwahiyo vyema unywe Mjeshi akiwa amerudi 🏃🏃
Wee Jifanye una file Langu tyuuu😂😂!Wala huyo SI wewe🤣😂😂
😅😅🏃🏃🏃Ahaaaa kuuuuumbeeeehh!! Hahahaa..
Nitazingatia hilo babuuuu!!
Taratibu babu hio speed usijedondoka babuuu etuu!!😅😅🏃🏃🏃
Walaaa, sijauona msambwa🤣😂😂Wee Jifanye una file Langu tyuuu😂😂!
Niutoe wapi miee!! SinaaWalaaa, sijauona msambwa🤣😂😂
Maziwa Kwa afyaa. Safi saana. Mkuu.View attachment 2647594
Ni rahisi Kunywa Castle lite/Bingwa au John Walker kuliko Maziwa
Hapa najaribu kuona kama nitafikisha lita 200 zinazotakiwa kunyweka kwa Mwaka mzima.
Hello Tuesday![]()