Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Treinnaaa watuliee kama maji ya mtungiiii!!

Weee nipe chimbo zuri la mduduuuuu!!
Mbeya unakuja linii???
TumoghelešŸ”„šŸ”„šŸ”„.

Pale Mwanjelwa,Nyuma ya soko lile la Mwanjelwa
Kunakuwaga na mdudu mtamu hatari.

Kwingine uswahilini huwezi fika😊


Simba wanataka wapasuke..
Ndo hivyo tena ndege tumepewa
Wananchi wanapanda ndege.
 
Mfyuuuuu...šŸ‘½šŸ‘½šŸ‘½
"Kumbe sikuhizi wachawi sio wazeeee"
Juzi Makolo mlitaka kufaaaa šŸ˜šŸ˜šŸ˜šŸ˜šŸ˜
Wapo wanatema nyongo kule sports

Mama ameshikilia hapohapo..
Na kurudi tunarudi nayo.

ThimbaaašŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
Hatukuwatuma sisi msifike fainali za kimataifa.
 
TumoghelešŸ”„šŸ”„šŸ”„.

Pale Mwanjelwa,Nyuma ya soko lile la Mwanjelwa
Kunakuwaga na mdudu mtamu hatari.

Kwingine uswahilini huwezi fika😊


Simba wanataka wapasuke..
Ndo hivyo tena ndege tumepewa
Wananchi wanapanda ndege.
Asantreeeeeeh sanaaa.....!

Hao ilishakula kwao mazimaaaa!!
 
Back
Top Bottom