Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,305
Huku Nyakiboo yanaitwa masomaaaaa !Hivyo viazi au magimbiš¤š¤
They're very good at heart!!
Huku Nyakiboo yanaitwa masomaaaaa !Hivyo viazi au magimbiš¤š¤
Tumogheleš„š„š„.Treinnaaa watuliee kama maji ya mtungiiii!!
Weee nipe chimbo zuri la mduduuuuu!!
Mbeya unakuja linii???
Wapo wanatema nyongo kule sportsMfyuuuuu...š½š½š½
"Kumbe sikuhizi wachawi sio wazeeee"
Juzi Makolo mlitaka kufaaaa ššššš
Asantreeeeeeh sanaaa.....!Tumogheleš„š„š„.
Pale Mwanjelwa,Nyuma ya soko lile la Mwanjelwa
Kunakuwaga na mdudu mtamu hatari.
Kwingine uswahilini huwezi fikaš
Simba wanataka wapasuke..
Ndo hivyo tena ndege tumepewa
Wananchi wanapanda ndege.
Saana..Randy Orton is the best šš„View attachment 2646366
AiseeHuku Nyakibimbirii ankoli akee!! Jua kama loutreee
Huko leo sijatembeleaa hahahaaa . ngoja nikatanue mapafu huko sports!!Wapo wanatema nyongo kule sports
Mama ameshikilia hapohapo..
Na kurudi tunarudi nayo.
Thimbaaaššš
Hatukuwatuma sisi msifike fainali za kimataifa.
AiseeNzuri kuna kamvua leo siku nzima. Hali ya hewa nzuri sana. Unanitisha sionani nawewe Ankol.
Samalekooo jirani ā! Karibu tena Selfikaaaa!!Aisee
Makolo ni failurešSisi hao shwaaaa
Tunaenda Mbeya
Wenye nchi yetu jamani.
Makolo wamenuna.
Mtusamehe tu
Uchovu wa safari za kimataifa,hatuwezi kwenda sugua makalio kwenye bus.
Lazima tupande tena ndege.
Ndo wapiii hiyo antiel nikuje mieHuku Nyakibimbirii ankoli akee!! Jua kama loutreee
Antiel kwa mbea hapo... Chimbo la mdudu ni pale inategemea upo wapi... Ila nenda pale mbeya pazur kwa mama johnTreinnaaa watuliee kama maji ya mtungiiii!!
Mbeya unakuja linii???
Asante sanaSamalekooo jirani ā! Karibu tena Selfikaaaa!!
Santo sana ankoli akee!!! Huko nako Nitasavei nifanye comparisons!!Antiel kwa mbea hapo... Chimbo la mdudu ni pale inategemea upo wapi... Ila nenda pale mbeya pazur kwa mama john
Huku bushi nilipo auntie akeee!!Ndo wapiii hiyo antiel nikuje mie
Nenda pia mafiati pale.... Nyuma ua KC hospitali....Santo sana ankoli akee!!! Huko nako Nitasavei nifanye comparisons!!
Doooh jamani weeeeehHuku bushi nilipo auntie akeee!!
Sauwaasauwaaa ankoli akee āļøāļøāļø!Nenda pia mafiati pale.... Nyuma ua KC hospitali....
Au makasini uyole