Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Medali 😁😁, nataka kombe. Maana hata wanyama wanzoYanga ana dinner Ikulu
Ana medali
Baadaye anapanda tena ndege kwenda Mbeya.
Simba-Majungu tu ndo waliyoambulia mwaka huu.
Enjoy time boss
Najua hiloo, that's why sito sumbuaa Tena 🤗🤗🤗Kwenye mapensi acha kila mtu apambane nahare yake tyuuu kichaa akee sema nenee usiamini kila kiandikwalo humuuu na kulipa uzito kihivooo!!
Street food mkuuEnjoy time boss
Njoo tupokezane kusoma!!!🤗Madam hayo ma vitabu, utafanya nihamie kwako 😜😍
Ila wewe🤣🤣😂 AaliyyahUshapigwa mkwara au amekuteka uanze kumsifia 🤣🤣🤣
Enjoy what you get, hiyo ni riziki mkuu. So furahia kwa Moyo wote chieff😍💪🙏Street food mkuu
Huyo mtoto atakua kaambiwa awakomoe wazazi wake ehh......?🤔🤔Mh tuta pigana🤔🤔, mana huu ni uchoyo. Hata mtoto hashibi😂😂
Naijua hiyo🤔🤔, mi sinasi 😂😂jokingNjoo tupokezane kusoma!!!🤗
🤣🤣Aaliyyah yaani huyu bro Poor Brain mpaka nime Anza kumuogopa😂😂😂. Anataka kunipangia Nini🤔🤔
Shido msosi mdogo huo😂😂😂, we unakula Kama siafuHuyo mtoto atakua kaambiwa awakomoe wazazi wake ehh......?🤔🤔
Nkamu umenipa hamasa..
Nimejiscrub mwili mzima na sukari+asali
Kangozi kameteleza hako nimependa
Endelea kupost mara kwa mara
Nikiona tu post yako,lazima nitafute socks na kupaka parachute kwenye viwiko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiniambia kuna offer ya kwenda kujazia ribs mahali sikatai!😀🫣🙈Unashiba?😀
Duh!!..Mi mtakatifu Aaliyyah View attachment 2647084
Unapajua Kazimoto pork?Ukiniambia kuna offer ya kwenda kujazia ribs mahali sikatai!😀🫣🙈