Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Wananchiiiu💚💛Hatujamaliza wana Yanga
Mlete Diarra😂😂😂
Golikipa kama huyu, Mama anaachaje kutoa ndege kwa mfano!
Baadaye shwaaaa na ndege,haooo Green city 💛💚🔥
Wananchiiiu💚💛Hatujamaliza wana Yanga
Mlete Diarra😂😂😂
Golikipa kama huyu, Mama anaachaje kutoa ndege kwa mfano!
Baadaye shwaaaa na ndege,haooo Green city 💛💚🔥
Ankol shindwa katika jina la Yesu.😅😅😅😅 nataka siku moja nikae na Bantu Lady inatoshaaa 🤣🤣🤣 ma ambao nilikuwa nawatamani siku moja nikae nao wanaishiaga kufa vifo tatanishi wengine wanajiuaa sijui maana yake nini
Mfyuuuuu...👽👽👽kikubwa Kombe limebaki uarabuni, mama hata akitaka awape ikuluu sawa tyuuh.
Shukrani mkuu....Dahhh, upewe Maua yako😂😂😂,maaanaa
Maisha hayana formula, njia alizopitia mwingine might scared you!..komaa na ndoto zako utazifanikisha kwa njia zako mwenyewe.Haya niambie, nakusikiliza
😅😅😅😅Ankol shindwa katika jina la Yesu.
Ila Ankol kweli dah 😂😂😂😂😂 sawa
😏😏😏😏😏😏😏Nipe jibu
View attachment 2647008
Barikiwa Kaka kwa maarifa🙏💪Maisha hayana formula, njia alizopitia mwingine might scared you!..komaa na ndoto zako utazifanikisha kwa njia zako mwenyewe.
Nzuri kuna kamvua leo siku nzima. Hali ya hewa nzuri sana. Unanitisha sionani nawewe Ankol.😅😅😅😅
Habari lakini aunty yangu mzuri .. Si unajua ka jioni hakaaa.. acha nisogee hapo masaki orchid cafe nipate chochote kitu
Kuna nini mpendwa🤔🤔cocastic udugu akee National Anthem mjomba wangu kipenzee Naomba mnibless pullliiizzzzzzzzzzzzzzz Jioni yangu haijakaa poa kabessaaa
😊😊😊 usijali shangazi yangu kipenzi.. goja niingie bafuneeee ivi hapa hakuna ka option ka livecocastic udugu akee National Anthem mjomba wangu kipenzee Naomba mnibless pullliiizzzzzzzzzzzzzzz Jioni yangu haijakaa poa kabessaaa
Huku jua kareee karibia mwezii sasa yani balaaa tupu!!Nzuri kuna kamvua leo siku nzima. Hali ya hewa nzuri sana. Unanitisha sionani nawewe Ankol.
Antonnia uliniambiaa mwanaume hasusi, kwani Ina maana gani🤔🤔 kwangu.😏😏😏😏😏😏😏
Koloz mtakufa siku si zenyuuuu🚮🚮🚮🚮🚮🚮
Mfyuuuuu...
"Kumbe sikuhizi wachawi sio wazeeee"
Juzi Makolo mlitaka kufaaaa![]()






jamanii mpira ulivyoishaa nilirukaaa kwa furahaa mnooo.😅😅😅 usiogope shangazi yangu mzuri usie na baya.. namaanisha watu ambao walinivutia kwenye career flani.. na niliwish siku moja niwe hata hatua zao.. ila walikuwa wanaishi kubaya kubaya..Nzuri kuna kamvua leo siku nzima. Hali ya hewa nzuri sana. Unanitisha sionani nawewe Ankol.
Mie baadaeee ntakubless, waja mpate LA kuongeaaa.cocastic udugu akee National Anthem mjomba wangu kipenzee Naomba mnibless pullliiizzzzzzzzzzzzzzz Jioni yangu haijakaa poa kabessaaa
Chatini na pichaaaa😂😂😁!!Kuna nini mpendwa🤔🤔
Muone 🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅 usiogope shangazi yangu mzuri usie na baya.. namaanisha watu ambao walinivutia kwenye career flani.. na niliwish siku moja niwe hata hatua zao.. ila walikuwa wanaishi kubaya kubaya..