mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,938
nakazia....njia alizopitia nwingine kufanikiwa haziwezi kuwa sawa na zangu!
nakazia....njia alizopitia nwingine kufanikiwa haziwezi kuwa sawa na zangu!
Ni kweli, ila sometimes Ina kupa vision fulani- unaeza KUTANA na mtu ana tumia style hizo - so una muadhibu kitaalamu zaidi🤗🤗 Jack Palladino
Hana huo ujanja ni vile tuu namjua Intelligent businessmanUshapigwa mkwara au amekuteka uanze kumsifia 🤣🤣🤣
Ole wako unipe imani ya hovyo, Kama huyuKwakweli🤣🤣
Family for life🤗🤗💪Hana huo ujanja ni vile tuu namjua Intelligent businessman
Kaka wee mtu safi huna baya na mtu ya nini nikunyime mdogo angu AaliyyahFamily for life🤗🤗💪
Bro Jack Palladino Niko pamoja na wewe, utofauti ni muhimu Sana.Noo, usipoangalia utaishi kwenye ndoto za wengine. Jiamini na maono yako
Mmmmmh usiogope mkuuu....🙏🙏🙏🤝🤝🤝🤝🤝🤝Aaliyyah yaani huyu bro Poor Brain mpaka nime Anza kumuogopa😂😂😂. Anataka kunipangia Nini🤔🤔
EC-Council wanaanda watu kama yeye , ila juna Cerfication za kazi kazi kinomaaa..Huyu mwamba kawa certified na EC-Council lazima yuko good sana katika mambo za cybersecurity
Mkeka unauza
Sio poa aisee futurology wanataka kuja na flying cars nini?Cheki hi ni transportation techView attachment 2646984
Amini mzeiya sio kazi rahisiEC-Council wanaanda watu kama yeye , ila juna Cerfication za kazi kazi kinomaaa..
Msamehe, kijana ana stress. Penzi lake ni jipya lakini linampelekesha.😅😅Mii kenge tena..... 😂😂😂😂😂😂
Weee Intelligent businessman una nini wewe mbona upo hivo....
Umebadilika sana 😂😂😂😂
Analyse ebuu tukae na kijana huyu apate ushauri
Sio kuja, tayari zipooooooo, mi nawakeza katika hisa. Apple Wana self driving cars. Hisa 1 ilikuwa 00.01Sio poa aisee futurology wanataka kuja na flying cars nini?
Naongea kitu nachofanya na nina kiishi na nipo na certification kadha wa kadha mkuu. EC-Council for Managars... kuna certification ni kwa Technically People's..Amini mzeiya sio kazi rahisi
Analyse vijana nimewapigisua kwata, Hadi wame surrender 😂😂Naimani atashinda huyu Intelligent businessman ni smart.. pia ni mkaka ambaye anajiheshimu licha ya hivo
Kitu ambacho ukijui ni siri hii nakupa usimwambie.
Bwana Intelligent businessman ni mtu saafi sana hajawahi kutwa na tabia za ajabu hapa
Kuhusu kumwaga pesa an mapesa sio bahiri an kiufupi hayupo kwenye kile kikundi cha #kataa ndoa ambacho hao watatu wako naimani wapo..
Samahani kwa kuandika huu mkeka ila soma tuu