Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwakweli🤣🤣
Ole wako unipe imani ya hovyo, Kama huyu
FB_IMG_16858801019301801.jpg
 
Naimani atashinda huyu Intelligent businessman ni smart.. pia ni mkaka ambaye anajiheshimu licha ya hivo
Kitu ambacho ukijui ni siri hii nakupa usimwambie.
Bwana Intelligent businessman ni mtu saafi sana hajawahi kutwa na tabia za ajabu hapa
Kuhusu kumwaga pesa an mapesa sio bahiri an kiufupi hayupo kwenye kile kikundi cha #kataa ndoa ambacho hao watatu wako naimani wapo..
Samahani kwa kuandika huu mkeka ila soma tuu
Analyse vijana nimewapigisua kwata, Hadi wame surrender 😂😂
 
Hatujamaliza wana Yanga
Mlete Diarra😂😂😂

Golikipa kama huyu, Mama anaachaje kutoa ndege kwa mfano!
Baadaye shwaaaa na ndege,haooo Green city 💛💚🔥
 

Attachments

  • Screenshot_20230605-163643.jpg
    Screenshot_20230605-163643.jpg
    152 KB · Views: 6
Back
Top Bottom