Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwambie aje abanane hapahapa na Hawa wangu wanne mshindi atatangazwa kanisani au msikitini 🤣🤣🤣🤣atabeba kombelake wengine watarudi na medali Kama Yanga 🤣🤣
Naimani atashinda huyu Intelligent businessman ni smart.. pia ni mkaka ambaye anajiheshimu licha ya hivo
Kitu ambacho ukijui ni siri hii nakupa usimwambie.
Bwana Intelligent businessman ni mtu saafi sana hajawahi kutwa na tabia za ajabu hapa
Kuhusu kumwaga pesa an mapesa sio bahiri an kiufupi hayupo kwenye kile kikundi cha #kataa ndoa ambacho hao watatu wako naimani wapo..
Samahani kwa kuandika huu mkeka ila soma tuu
 
20230605_122739.jpg
 
Naimani atashinda huyu Intelligent businessman ni smart.. pia ni mkaka ambaye anajiheshimu licha ya hivo
Kitu ambacho ukijui ni siri hii nakupa usimwambie.
Bwana Intelligent businessman ni mtu saafi sana hajawahi kutwa na tabia za ajabu hapa
Kuhusu kumwaga pesa an mapesa sio bahiri an kiufupi hayupo kwenye kile kikundi cha #kataa ndoa ambacho hao watatu wako naimani wapo..
Samahani kwa kuandika huu mkeka ila soma tuu
Ushapigwa mkwara au amekuteka uanze kumsifia 🤣🤣🤣
 
Sema Raha ya teknolojia, we una boresha- Kuna wahuni wanna kulia Rada😂😂😂.
👉Hata ukiwa kiboko, Kuna mahali utazidiwa
Yh sure lazima u-upgrade your skills to gain new ones

China sasa hivi wanataka kutoka 5G kwenda 6G serikali imemwaga mpunga kussuport hiyo project hapo Shenzhen Silicon Valleys vijana wakali wa telecom hawalali huko

Sisi bongo bado tunakomaa na 4G 🤔
 
Yh sure lazima u-upgrade your skills to gain new ones

China sasa hivi wanataka kutoka 5G kwenda 6G serikali imemwaga mpunga kussuport hiyo project hapo Shenzhen Silicon Valleys vijana wakali wa telecom hawalali huko

Sisi bongo bado tunakomaa na 4G 🤔
Cheki hi ni transportation tech
FB_IMG_16857046328279648.jpg
 
Back
Top Bottom