Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,138
Kuna watu walijaribu kugombanisha hapa ila washafeli mkuu 🤓🤓😂Bro Jack Palladino wanasema alone you can achieve great, but together we can make wonders😂😂😂
Kuna watu walijaribu kugombanisha hapa ila washafeli mkuu 🤓🤓😂Bro Jack Palladino wanasema alone you can achieve great, but together we can make wonders😂😂😂
Mh hicho kiumbee sio powa💪💪💪💪Huyu mwamba kawa certified na EC-Council lazima yuko good sana katika mambo za cybersecurity
Mkeka unauza
Bro kuna mazingira kwenye maisha usiwe na adui au rafiki wa kudumu😂😂😂Sio na hao vijana😅
Very true, but you should both have the same vision otherwise watakupoteza.Bro kuna mazingira kwenye maisha usiwe na adui au rafiki wa kudumu😂😂😂
Ndo mana anaswitch tu kutoka corporation moja kwenda nyingine 😊Mh hicho kiumbee sio powa💪💪💪💪
🤣🤣🤣Jeshi la mtu mmoja, ninavyo jisikiaje Baada ya kuambiwa Aaliyyah Ni wanguView attachment 2646956
Kaka Jack Palladino Usha kisoma kile kitabu Cha 48 laws of power ??? By R.greeneVery true, but you should both have the same vision otherwise watakupoteza.
Naimani atashinda huyu Intelligent businessman ni smart.. pia ni mkaka ambaye anajiheshimu licha ya hivoMwambie aje abanane hapahapa na Hawa wangu wanne mshindi atatangazwa kanisani au msikitini 🤣🤣🤣🤣atabeba kombelake wengine watarudi na medali Kama Yanga 🤣🤣
Sema Raha ya teknolojia, we una boresha- Kuna wahuni wanna kulia Rada😂😂😂.Ndo mana anaswitch tu kutoka corporation moja kwenda nyingine 😊
Uwa sipendelei sana kusoma vitabu vya aina hiyo. Naamini sana kwenye maono yangu, pia njia alizopitia nwingine kufanikiwa haziwezi kuwa sawa na zangu!Kaka Jack Palladino Usha kisoma kile kitabu Cha 48 laws of power ??? By R.greene
👉Hapa tuna viziana tu😂😂
Madam hayo ma vitabu, utafanya nihamie kwako 😜😍
Ushapigwa mkwara au amekuteka uanze kumsifia 🤣🤣🤣Naimani atashinda huyu Intelligent businessman ni smart.. pia ni mkaka ambaye anajiheshimu licha ya hivo
Kitu ambacho ukijui ni siri hii nakupa usimwambie.
Bwana Intelligent businessman ni mtu saafi sana hajawahi kutwa na tabia za ajabu hapa
Kuhusu kumwaga pesa an mapesa sio bahiri an kiufupi hayupo kwenye kile kikundi cha #kataa ndoa ambacho hao watatu wako naimani wapo..
Samahani kwa kuandika huu mkeka ila soma tuu
Ni kweli, ila sometimes Ina kupa vision fulani- unaeza KUTANA na mtu ana tumia style hizo - so una muadhibu kitaalamu zaidi🤗🤗 Jack PalladinoUwa sipendelei sana kusoma vitabu vya aina hiyo. Naamini sana kwenye maono yangu, pia njia alizopitia nwingine kufanikiwa haziwezi kuwa sawa na zangu!
Sasa hapa tuko wengi, tukiwa wenyewe SI utavunjika mbavu😁😂😂
Kwakweli🤣🤣Sasa hapa tuko awenhi,btukiwa wenyewe SI utavunjika mbavu😁😂😂
😂😂😂😂, Unamjua mchungaji antonnio lusekela wa channel 10. AnasemagaUshapigwa mkwara au amekuteka uanze kumsifia 🤣🤣🤣
Yh sure lazima u-upgrade your skills to gain new onesSema Raha ya teknolojia, we una boresha- Kuna wahuni wanna kulia Rada😂😂😂.
👉Hata ukiwa kiboko, Kuna mahali utazidiwa
Cheki hi ni transportation techYh sure lazima u-upgrade your skills to gain new ones
China sasa hivi wanataka kutoka 5G kwenda 6G serikali imemwaga mpunga kussuport hiyo project hapo Shenzhen Silicon Valleys vijana wakali wa telecom hawalali huko
Sisi bongo bado tunakomaa na 4G 🤔