Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,138
Kwanini mkuu 🤓Ahaaa kijana unakosea hapo🤣
Kwanini mkuu 🤓Ahaaa kijana unakosea hapo🤣
Aisee Hebu muulize huyo Poor Brain anavyo nichukian na kunipondea🤔🤔Shahid wa yehova au 😂😂
Unamtongezea??Kwanini mkuu 🤓
Please bro Jack Palladino, maadui wame surrender. Usinambie na wewe unataka kuwa mpinzani😂😂😂Ahaaa kijana unakosea hapo🤣
Yani nyie kama watoto 😀😀😀Kweli nilikua nimechanganywa tuu sijui shida yangu nini kwa kweli ila sasa naungana na wewe ndugu yangu Intelligent businessman
Hayo maneno ni bora uongee mwenyewe!Please bro Jack Palladino, maadui wame surrender. Usinambie na wewe unataka kuwa mpinzani😂😂😂
Paa paa paa 🤝🤝🤝🤝🤝🤝Aisee Hebu muulize huyo Poor Brain anavyo nichukianna kunipondea🤔🤔
👉Nishawatag kumuweka unyumbaa😂😂😂😂😂
👉 I mean no malice to nobody
Sawa utoto ila ni hivo huyu Intelligent businessman ninamfahamu fika... Akipenda anapenda vibaya mnooo🙏🙏🙏😂Yani nyie kama watoto 😀😀😀
Ungejua wewe acha tuu 😂😂😂😂😂Hayo maneno ni bora uongee mwenyewe!
Nifanye Kama mtoto, uninyonyeshe Sasa😂😂😂Yani nyie kama watoto 😀😀😀
Hapana siwezi wakati yeye ndo ticha wangu wa haya mambo yaani mii nampa salout Intelligent businessman maana bila yeye kunipa swaga hata nisinge mpata mtoto mzuri 🤓Unamtongezea??
Mwambie aje abanane hapahapa na Hawa wangu wanne mshindi atatangazwa kanisani au msikitini 🤣🤣🤣🤣atabeba kombelake wengine watarudi na medali Kama Yanga 🤣🤣Sawa utoto ila ni hivo huyu Intelligent businessman ninamfahamu fika... Akipenda anapenda vibaya mnooo🙏🙏🙏😂
we jamaa mswahili 😂Aaliyyah
usiwasikilize Poor Brain na mshamba_hachekwi
wanafiki wanafiki
Wazee wa kuwa pakazia
Yasio wahusu wanna ingilia
Maneno yao ni Kama ya Simba
Ukiya sikiliza, lazima yata kuingia😜
😀😀DahNifanye Kama mtoto, uninyonyeshe Sasa😂😂😂
Huyu mwamba kawa certified na EC-Council lazima yuko good sana katika mambo za cybersecurityNipo napitia pitia profile View attachment 2646386View attachment 2646387
Bro Jack Palladino wanasema alone you can achieve great, but together we can make wonders😂😂😂Hayo maneno ni bora uongee mwenyewe!
Ni wako huyo na mi tahakikisha mnafika mbali aiseeee... Aaliyyah kiufupi chibaba umepata hapa si unaona mambo hayo 😂😂😂😂😂Jeshi la mtu mmoja, ninavyo jisikiaje Baada ya kuambiwa Aaliyyah Ni wanguView attachment 2646956
Sio na hao vijana😅Bro Jack Palladino wanasema alone you can achieve great, but together we can make wonders😂😂😂