Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Wewe huendagi porini?!ya porini hiyo![]()
Mimi tena!!Love
Iko wapi eti jamaniSave tuu...
Haina shida shemeghi ila nataka ya kwako.
Naomba uitume pmNipiemu basi...
Zile za samaki sitaki
Mimi tena!!
MmmhhhNdiyo
Na ulikuwa faster 😀😀And i was there on a click..![]()
Asee...emu futa banaHuku mwenyewe labda mtu aibe simu ..
Ninazo ...![]()
Mmmhhh
Hamna mkuuNini
Hamna mkuu
Namtumbo.
Hivi tuko wapi eti jamani auntie
Hivi unaniona mtoto mwenzio eeh?Hahah simu linameza mkadi wote utadhani unataka kutoa hela ATM vile...
Halafu kuongea lazima ufungue kibaraza(kimfuniko cha kukinga mawimbi) na unyooshe antenna hivi...
Atoto hapa alikuwa anafutwa kamasi tu huko Tunduru ndani ndani karibu na Msumbiji![]()