Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,479
- 203,142
Zipo huko juuSave tuu...
Haina shida shemeghi ila nataka ya kwako.
Zipo huko juuSave tuu...
Haina shida shemeghi ila nataka ya kwako.
HahahaKumbe yalikuwa n mashauzi? Me sikujua asee 😂😂😂
Mbwa koko wa kishua au changanyikeni?
Zipo za dagaa tu ndio nimebaki nazoNipiemu basi...
Zile za samaki sitaki
Hii kitu tulikuwa tunaiita "mbwa" zamani kwa namna ilivyokuwa inavumilia shida na rabsha
Hiyo kwenye chupa ya maji mbona kama primer...ile foundation color unaweka kabla ya kupiga main color kwa surface...
Kuna vijana siku hizi unapata wanakuwa nazo hizo mavitu then wanatumia kama kilevi kwa kuvuta tu zile harufu zake...




mkuu hiyo ni MBEGE NA SERENGETIIpo waziAfu piemu umepiga block...
Ipo wazi
Sasa unasubiri nini?
K.vant kubwa bei gani na duka lipo wapiFika dukani kwetu ujipatieView attachment 1273358

View attachment 1273408
Do not save
Nishafuta....mekwambia hakuna kusave, haya chap ifuteAsante mama...
Nimeshasave na mimi..
Futa tuu kabla mabaharia wengine hawajasave..![]()
Nishafuta....mekwambia hakuna kusave, haya chap ifute
Nilikuwa nakuita ili niwekepo picha 😀😀Naaam @Depal
Ile sifuti 🚶Ushafuta ile yangu...
Sijasave
Nilikuwa nakuita ili niwekepo picha![]()