Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Hahahahahaha
Usiku mwema auntie, mimi nalala
Mpo Cambodia ama...???Usiku mwema.
Ndo kwanza nimeingiaKwendraaaaaaaaa!!
Sina usemi wala jamani
pole sana mkuuYeah mkuu, nimeenda chat zote sioni hata taswira, Duh , utafikiri napitia daftari la mwandiko.![]()
Khaaa unaumwa?Usiku mwema.
Wewe wa kujimwambafai banaWewe hunipendiee
Wewe wa kujimwambafai bana
Hahahah hamkos la kujitetea
You have a point mkuu.. Sema umenichekesha sana aiseh

Mungu ni wa wote mkuu, huwezi ukawa unapewa kila siku wewe tuHahahah hamkos la kujitetea
ups and down kwenye maisha ni lazima Unasikitika nn ss,kwa mpira n jambo la kawaida sanaaMungu ni wa wote mkuu, huwezi ukawa unapewa kila siku wewe tuups and down kwenye maisha ni lazima View attachment 1272406
Hivi huku ndo kutongozwa eeeh!!!Hahaha hivi mwanamke ukitongozwa ni lazima upige kona kona?
Dahhh tilapia mtamu sana huwa siachi hata mfupa.
Utamu wake acha kabisa
Mejikuta nawaza ugali na hiyo samaki jamanii
Haha utakabwa koo siku mojaDahhh tilapia mtamu sana huwa siachi hata mfupa.