Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kilivhojiri Sasa 😀 zitafunikwa had ziombe msamaha kunamtu kanishauri kesho nitembee hivhiv mjini😂😂😂
Yes dear ziachie hata mara moja ..
misuko hiyo mizuri ,nywele hazichomi hata .
no kubana ni kuvaa na kusepa
 
Nitaziachia sikumoja napiga modo matata 😂😂naachia nywele nyie natafuta na miwani flan hiv nawazoom tu😂😂😂
Achia mamaa
ukienda kwa babe abaki kushngaaaa .

mie naaachiga sana mitindo hiyo mizuri nilisuka uzi wa utumbo mifupi hadi begani .

nikawa nabadilisha tu style kwa kichwa
 
Aiseee pendaneni hivyo
love is a beautiful thing , sijui alikuwa wapi sikuzote kaja kusema mwaka wa mwisho .

sijawahi kuwa na mahusiano shuleni/chuo but nahisi raha kuwa na mtu ukiingia darasani unqmuona baby yule unasmile huyo unaenda kuketi .
Ndiwoooooooo dear umejuajeeee??
mnakonyezanaa jichooo maisha yanasongaaa, kuna viji ugomvi vya kuchachua penzii bas burudaniiiii.
 
Back
Top Bottom