Okrap
JF-Expert Member
- Jul 13, 2022
- 1,112
- 2,315
Tunasubir ulete wewe
Tunasubir ulete wewe
😂😂Naijua hiyo hamna jipya😂😂Ile ya kujifanyisha naumwa Sana! Na uje tucheki movies si ndo unazozijua Sana eh!
Sasa mmasai kanifungulia ma files yake tokea Cuba uko
haha unajikuta Rambo eh!😂😂Naijua hiyo hamna jipya😂😂
🤣🤣🤣🤣hahahaha!
Hata hivi vitu sitatumia Tena na kubambia ovyo ovyo mwisho ilikuwa Jana.
View attachment 2638621
dah, sitii neno 😂
Nishajua ulichotaka kusema fala wewe sana 😂😂😂dah, sitii neno 😂
Hello
Udugu jaman kwani si maji ya moto yapo
Udugu nimepashiwa maji nimeoga sikujua kama naungua sasaiv ndio najua kumbe yake maji yameniunguza ase maji yamechemka kama ugali nimezimua na kopo mbili za maji 😂😂😂Udugu jaman kwani si maji ya moto yapo
Em pasha maji uoge
Niliongea kimafumbo pale, wakati mwingine Wazee hutumia lugha ya kificho kufikisha ujumbe 😜Wamefungwa wao![]()
Sio lazimakaoge
UtanataSio lazima
Nasubir ww ukujeUtanata
Pole sana udugu😂Udugu nimepashiwa maji nimeoga sikujua kama naungua sasaiv ndio najua kumbe yake maji yameniunguza ase maji yamechemka kama ugali nimezimua na kopo mbili za maji 😂😂😂
Nisahau vepeee??Coca mmbeya ww usahau