Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamani muonee huruma hata kidogo Carlton!😁😁

Jazz wa zamani namuongelea aliyekua kwenye OG Prince Of Bel Air . Kama hujaiona itafute ukiwa na muda, utaenjoy.

Sasa hivi kuna series nyingi nzuri, by the time unaikumbuka Bel Air, na muda wakutoka unakua umekaribia!🙂
Anaendelea kuzingua, anadanganya wazazi alikopotezea gari.

Nitaicheck.

😂 wasituweke sana tukasahau tulikoishia
 
Kuna siku imepita hujasema unasoma UD kweli?
Jana, juzi.
Km umeona kalete screenshots au kan quote.

Afu hakna sheria inakataza mtu kusema anakosoma au anako ishi, mda wowote, saa yoyote, hakuna limitations.

Tatizo lako unanifatilia sanaa afu unakutana na kitu ambacho hupendi kukiona, unabakii kuumia na kutesekaaa

Poleeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Heaven Sent
Mama maleziii uko wapiiiiii??? Chimbo kumenogaaaa kuna bonge LA ubuyuuu, sina kifua cha kuweka hili, naupenda moyo wangu badoo.
Ufanyee ukujee nikupatieee mbea mwenzanguu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ndiyo natoka kanisani; almanusura nigongwe na "ganagana" nilivyoona habari ya ubuyu. Nimwagie sasa
 
Jana, juzi.
Km umeona kalete screenshots au kan quote.

Afu hakna sheria inakataza mtu kusema anakosoma au anako ishi, mda wowote, saa yoyote, hakuna limitations.

Tatizo lako unanifatilia sanaa afu unakutana na kitu ambacho hupendi kukiona, unabakii kuumia na kutesekaaa

Poleeeeee
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Unasoma nini hapo urubani?
 
Back
Top Bottom