Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,271
Itamfikia imeyeyuka🤣🤣Mwenzio kaagiza ice cream.
Jamani muonee huruma hata kidogo Carlton!😁😁Carlton wivu + madawa yake vinamvuruga!
Lisa anamtaka Will, wakiwa wote kwangu its fine, C atajiheal kwa mbele huko akitulia akapendana na Jazmin, kwanza washa 💋 so wamalizie walichobakiza 😂
Jazz ✅
Wa zamani tuone wataishia wapi
Mpya nadhani sijafika, RN niko Ep8 😂
Wasituweke sana kufika S3 😋
Sawa mwanafunzi wa UD.na nilijua unavonifatiliaaa hii lazimaa ikuumee na uta comment tyuuh, bado wawili naona hawapo online muda huu.
Vipii nakutesaa sanaaaa?? Poleeeeee
![]()
Naacha basi 😂😂
Nishachoka sifikiii tu 😂😂Sure, nishapona ila hako ka alama bado kananikumbushia maumivu yake.
Mwachiluwi anaenda Mbeya pazuri kwa kina mshamba_hachekwi kupigia makelele yake huko. Dar nasikia wamemfukuza 😂😂😂



Umeniambia nijikaze niache nijikazembeya sehemu gani dogo....
Ataweka kwenye microwaveItamfikia imeyeyuka🤣🤣






Depal nakuachia msala
Kuna siku imepita hujasema unasoma UD kweli?Afu siringii wala nn??![]()
Itajaa glass kweli? Hutoenjoy 🤣
Anaendelea kuzingua, anadanganya wazazi alikopotezea gari.Jamani muonee huruma hata kidogo Carlton!😁😁
Jazz wa zamani namuongelea aliyekua kwenye OG Prince Of Bel Air . Kama hujaiona itafute ukiwa na muda, utaenjoy.
Sasa hivi kuna series nyingi nzuri, by the time unaikumbuka Bel Air, na muda wakutoka unakua umekaribia!🙂
Jana, juzi.Kuna siku imepita hujasema unasoma UD kweli?









Ice cream yenyewe ukwaju, kuna milkshake ya ukwaju?Itajaa glass kweli? Hutoenjoy 🤣
Yaani ndiyo natoka kanisani; almanusura nigongwe na "ganagana" nilivyoona habari ya ubuyu. Nimwagie sasaHeaven Sent
Mama maleziii uko wapiiiiii??? Chimbo kumenogaaaa kuna bonge LA ubuyuuu, sina kifua cha kuweka hili, naupenda moyo wangu badoo.
Ufanyee ukujee nikupatieee mbea mwenzanguu
![]()