Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,271
MtagIlikuwa siku mzuri sana shemeji yenu huyu hapa
MtagIlikuwa siku mzuri sana shemeji yenu huyu hapa
😂😂Namsikia Mwachiluwi anaimba eti..
Huyu manzi ake naniii
Anipandisha midadi
Anitafuta lawama
Mwambieni banaaa
😂 Kwanini tusikupeleke studio😎?Namsikia Mwachiluwi anaimba eti..
Huyu manzi ake naniii
Anipandisha midadi
Anitafuta lawama
Mwambieni banaaa
Tuanzeni na bills nikapande juu ya meza😂 Kwanini tusikupeleke studio😎?
Basi next time bills on me😂 ila make sure unakiwasha vibaya sana ili twende studio😂Tuanzeni na bills nikapande juu ya meza
Watu wakielewa show, mnanipeleka studio 😂
Na anavyoimba kwa nguvu sasa😂😂
Mwambie asituharibie nyimbo yetu!!😄😄
Kuingia ni buree. Mzunguuko.sizimeisha???
Nitafutie link yakuangalia online.![]()
Andaeni mynof 4 za kuamshia popo 🤣🤣Basi next time bills on me😂 ila make sure unakiwasha vibaya sana ili twende studio😂
Mapemaaa yotee hii 😋
It's never fun...POLE!Nikirudia kuwekwa cannula labda nakaribia kudanja 😂
Hivi hivi big No. kialama cha cannula tokea April hakiishi
View attachment 2637707
Ex wako uku kasema et unakithembe😂😂Mimi sina kithembe we kibogoyo 🤣
Nataka ya VIP niangalie kwa utulivu.🙂
Wewe na huyo Ex wangu wote wehu 🤣Ex wako uku kasema et unakithembe😂😂
Sure, nishapona ila hako ka alama bado kananikumbushia maumivu yake.