National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,212
It's never fun...POLE!Nikirudia kuwekwa cannula labda nakaribia kudanja 😂
Hivi hivi big No. kialama cha cannula tokea April hakiishi
View attachment 2637707
Ex wako uku kasema et unakithembe😂😂Mimi sina kithembe we kibogoyo 🤣
Nataka ya VIP niangalie kwa utulivu.🙂
Wewe na huyo Ex wangu wote wehu 🤣Ex wako uku kasema et unakithembe😂😂
Sure, nishapona ila hako ka alama bado kananikumbushia maumivu yake.
kwangu hakuna slope ajikaze 😂Sure, nishapona ila hako ka alama bado kananikumbushia maumivu yake.
Mwachiluwi anaenda Mbeya pazuri kwa kina mshamba_hachekwi kupigia makelele yake huko. Dar nasikia wamemfukuza 😂😂😂
mbeya sehemu gani dogo....Sawa ngoja nijikazee Mshamba
Bora 🙂Sure, nishapona ila hako ka alama bado kananikumbushia maumivu yake.
Mwachiluwi anaenda Mbeya pazuri kwa kina mshamba_hachekwi kupigia makelele yake huko. Dar nasikia wamemfukuza 😂😂😂
anahangaika kila saa yeye ni vitumbua tu 😂Bora 🙂
Bora akawasumbue huko, sie vichwa vinatuuma.😆😆😆
Kwani order moja ikija huku itakua sh. ngapi???🙄🙄
Itafika imepoa 🤣🤣Kwani order moja ikija huku itakua sh. ngapi???🙄🙄
Usimtishe mwenzakokwangu hakuna slope ajikaze 😂
Carlton anazingua sana...yani kuna muda unampenda penda kidogo, ila for the most part he is very unlikeable!!!! Lisa nae tatizo upofu wa mapenzi unamsumbua!🫣🫣 Kale kajamaa hakamfai kabisa, ila sipendi akiwa na Will either maana Carlton wa watu karoho kanakua kanamuuma!😔Kwanza huku kwa Bel Air sijapenda hiki kipande Carlton anamjibu shit hivi mtoto mzuri Lisa 😂😂😏
Jibu la fvck you limemkomesha 🤣
Dr Lizzy
Eti yuko desperate to get over Will & she is willing to jump the 1st asshole that pays any attention 🤭 mie ningelia wallah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee niwacheeee nafaidii runguz za vijana wa UD ya mwisho mwishoo, sasa tukiachanaa July kukutana tena lini??Nipoo kipenzee huku mikaratasi huku maandalizi ya rekezzooo basi hekaheka tupuu[emoji4]!
Wiki nzima hii sijakuona humu walai ukute coca ashakupatia kitruuu kimya kimya mnaenjoy tyuu maisha hukooo[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]!
Mkipata wa akiba msinisahau dadaenu hapaa[emoji144][emoji1783]!