Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sijawahi kujihisi Kwa suala Hilo offcourse sijawahi fanyiwa kitu kama icho, lakini sijui why nimejisikia vibaya Kwa ilo sorry kama nimekukwaza Kwa ilo
Hahaha, natania bana

Ila hawa watu ntawaumbua tu, siwezi kuwakingia kifua kabisa,

Mtu akitaka vitu vixuri, sharti avipambanie

Maana,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, 😉😉😉😉😉 kuna unaniliuu mwingi sana humu
 
😁😁😊😊😊!
Naisubiriaa kwa hamuu ankolii ...japo mi mi nilisikia huyo bwana ndio alikua anawaingia wanawake kwa gia hio ya kuwanunulia IPhone na kuwafungulia biashara eti 😁😁😊!! Au huyu ni mwingine???😁😁😊
Acha tule mtorii kwanzaaa!
Ndo huyo, huyo 😆😆😆😆😆,

Tena kati ya hao waliopigwa mtungo kuna kidume kimenasa kwa 1 na anataka kumuoa kabisa,

Huyo jamaa Mungu amsaidie tu asije akafa na pressure, tukaanza kuxika tena kisa mapenzi,
 
Hahaha, natania bana

Ila hawa watu ntawaumbua tu, siwezi kuwakingia kifua kabisa,

Mtu akitaka vitu vixuri, sharti avipambanie

Maana,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, 😉😉😉😉😉 kuna unaniliuu mwingi sana humu
Ankoli Inaonekana una hasira naooo kinoumaaa!!!😊 Walikudhulumuuu niniii?? Au walikuomba mtaji???😁🤗
 
Ndo huyo, huyo 😆😆😆😆😆,

Tena kati ya hao waliopigwa mtungo kuna kidume kimenasa kwa 1 na anataka kumuoa kabisa,

Huyo jamaa Mungu amsaidie tu asije akafa na pressure, tukaanza kuxika tena kisa mapenzi,
Doh basi Itakua sio huyoo ankali huyo! Huyo naesemea hana story za mtungo ankali akee!!
 
Hahaha, natania bana

Ila hawa watu ntawaumbua tu, siwezi kuwakingia kifua kabisa,

Mtu akitaka vitu vixuri, sharti avipambanie

Maana,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, 😉😉😉😉😉 kuna unaniliuu mwingi sana humu
Usiwaze najua utani
 
Duuuh, basi nimechanganya mafile tena 😢😢😢😢😢😢


Hiyo ndo shida yangu kubwa, 😑😑😑😑

Inabidi nijipange vizuri asee

😁😁😁😊!
Mafile yamekua mengi ankoli yadelete uyapunguze memory iwe ma nafasi ya kuingiza files nyingine 😂
 
20230517_095545.jpg
 
😅😅😅😅 Kwa kweli, too much is harmful

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Daaah nacheka kama mazuri, lkn watu wanafurahisha sana humu ndani,

😂😂😂😂 Aseee noma sana

Anyway acha nione
Hahahaaa... !Wapuuze Achana nao kila mmoja ashinde mechi zake ankali akee jf ni kichaka kinene chenye kila aina ya wanyama/ wadudu/nyasi you know😊😊😂!
 
Back
Top Bottom