Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,994
- 48,498
🤣🤣🤣🤣Mbona unajihisi cheusi mangala 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Mbona unajihisi cheusi mangala 🤣🤣🤣🤣
Hahaha, natania banaSijawahi kujihisi Kwa suala Hilo offcourse sijawahi fanyiwa kitu kama icho, lakini sijui why nimejisikia vibaya Kwa ilo sorry kama nimekukwaza Kwa ilo
😁😁😊😊! Uthibishooo ankolii uthibishooo sio poahhh😁😁😊😊😂!!Mbona unajihisi cheusi mangala 🤣🤣🤣🤣
Ndo huyo, huyo 😆😆😆😆😆,😁😁😊😊😊!
Naisubiriaa kwa hamuu ankolii ...japo mi mi nilisikia huyo bwana ndio alikua anawaingia wanawake kwa gia hio ya kuwanunulia IPhone na kuwafungulia biashara eti 😁😁😊!! Au huyu ni mwingine???😁😁😊
Acha tule mtorii kwanzaaa!
We sio kirahisi hivyo, 😀😀😀😀😁😁😊😊! Uthibishooo ankolii uthibishooo sio poahhh😁😁😊😊😂!!
Ankoli Inaonekana una hasira naooo kinoumaaa!!!😊 Walikudhulumuuu niniii?? Au walikuomba mtaji???😁🤗Hahaha, natania bana
Ila hawa watu ntawaumbua tu, siwezi kuwakingia kifua kabisa,
Mtu akitaka vitu vixuri, sharti avipambanie
Maana,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, 😉😉😉😉😉 kuna unaniliuu mwingi sana humu
Doh basi Itakua sio huyoo ankali huyo! Huyo naesemea hana story za mtungo ankali akee!!Ndo huyo, huyo 😆😆😆😆😆,
Tena kati ya hao waliopigwa mtungo kuna kidume kimenasa kwa 1 na anataka kumuoa kabisa,
Huyo jamaa Mungu amsaidie tu asije akafa na pressure, tukaanza kuxika tena kisa mapenzi,
Usiwaze najua utaniHahaha, natania bana
Ila hawa watu ntawaumbua tu, siwezi kuwakingia kifua kabisa,
Mtu akitaka vitu vixuri, sharti avipambanie
Maana,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, 😉😉😉😉😉 kuna unaniliuu mwingi sana humu
Duuuh, basi nimechanganya mafile tena 😢😢😢😢😢😢Doh basi Itakua sio huyoo ankali huyo! Huyo naesemea hana story za mtungo ankali akee!!
Duuuh, basi nimechanganya mafile tena 😢😢😢😢😢😢
Hiyo ndo shida yangu kubwa, 😑😑😑😑
Inabidi nijipange vizuri asee
Hahahaaa... !Wapuuze Achana nao kila mmoja ashinde mechi zake ankali akee jf ni kichaka kinene chenye kila aina ya wanyama/ wadudu/nyasi you know😊😊😂!😅😅😅😅 Kwa kweli, too much is harmful
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Daaah nacheka kama mazuri, lkn watu wanafurahisha sana humu ndani,
😂😂😂😂 Aseee noma sana
Anyway acha nione
Simameni mnipe lift🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2624724
Kupata HD 50 USD.
Kuondoa ua 150 USD.
Vyote 190 USD.
Dr Lizzy mfikishie mteja quotation 😉
Wee madam niwewe huyo??? Umependezajeeee!!Mambo ya holiday Yako njiani haya njoo nipe msuko nipendeze na mm kati ya hii miwil View attachment 2624916View attachment 2624917
Antonnia
Hufiki.....😁Simameni mnipe lift🤣
😂😂😂Hapana sio mm nimechukua sehemuWee madam niwewe huyo???
Msuko mzuriiii !!
Mi hata sijui ntasuka nywele gani... Naomba nitumie msuko mzuriiii kwanza
Sawa auntiee akee ☺️☺️🤗🤗🤗Hahahaaa... !Wapuuze Achana nao kila mmoja ashinde mechi zake ankali akee jf ni kichaka kinene chenye kila aina ya wanyama/ wadudu/nyasi you know😊😊😂!