mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,315
- 72,080
inaharibu maisha yangu serious😂Misemo tu hiyo😂 ponda mali mwanangu
inaharibu maisha yangu serious😂Misemo tu hiyo😂 ponda mali mwanangu
Ndiyo mdada ndio maana sikubishana, nikampa hiyo 7 yake anayotaka.Lakini si mdada mwenzako, labda hakuwa na ya mafuta. 😅
Hao dawa unashika kabisa mkononi kama hataki unamruhusu. Wanaangalia mwonekano wako na mahali ulipo.
Vitu napendaga 😋😋😋Lenie 😂😂 nitakukumbusha uichome nile kwa macho mieeView attachment 2635896
najitahidi sana.... ila kuna hizi withdrawal symptoms😂Hao sio marafiki wa kweli basi .
true friends should support each other no matter what .
mie kauzu sana kwanza hata marafiki wa kike sina 😂😂
i dont mind loosing friends maaana mimi ndo best friend mwenyewe wa maisha yangu .
i cheer myself , encourage myself and so many more . what im saying hapa ni self love . jipende mwenyewe zaidi .
😂😂😂Misemo tu hiyo😂 ponda mali mwanangu
Haukua kawaida, au nipost picha hapa?Ndiyo mdada ndio maana sikubishana, nikampa hiyo 7 yake anayotaka.
Pale ni mgahawa tu wa kawaida, na mm mwenyewe nilikuwa kawaida 🤪
Try harder , ukizidiwa muombe roho mtakatifu akusaidie na kukupa nguvunajitahidi sana.... ila kuna hizi withdrawal symptoms😂
heehee unanishushua leo duhAmfate kwani unataka afe?? 😅 Maana huwezi fika kwake bila kufa.
Umekataa kutoa ushaur kule mpaka uzi umefutwa 😂😂Haukua kawaida, au nipost picha hapa?
Ulitokelezea sana, ndio maana akaashum we wa ushuani
wakishua 😂Grey Goose Vodka
anazingua anawekaje picha ya dyudyu lake jukwaani😂L
Umekataa kutoa ushaur kule mpaka uzi umefutwa 😂😂
😂😂😂 post!! Nyau weHaukua kawaida, au nipost picha hapa?
Ulitokelezea sana, ndio maana akaashum we wa ushuani
Picha ilinipiga upofu wa ghafla🤣🤣L
Umekataa kutoa ushaur kule mpaka uzi umefutwa 😂😂
haha wamefuta ule uzi dahanazingua anawekaje picha ya dyudyu lake jukwaani😂
sijawahi isikiaGrey Goose Vodka
nimejifunza mambo ya gizani sio mazuri kabisa😀Picha ilinipiga upofu wa ghafla🤣🤣
Ila hiyo kawaida unaiona wewe, huenda yeye kakuona kama boss flan.
itabidi nitafute mchumba temporary awe ananituliza mizuka 😂Try harder , ukizidiwa muombe roho mtakatifu akusaidie na kukupa nguvu