Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,472 May 26, 2023 #334,541 Saint Anne said: Ewaaa Na ugali kama uliopika leo Na zile mboga unawekaga nazi mwee Hivi makazi mapya ni wapi siku nije niwatembelee Mara nahamia hapohapo. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Umepata!!!☺️☺️ Kama kesho nataka nipike majani ya maboga, kama naona yatakavyonoga! 😂😂😂😂😂 Karibu na upepo wa Ununio unapishia!😉Hamia kabisa tuwe tunapokezana kupika!🙈🙈🙈
Saint Anne said: Ewaaa Na ugali kama uliopika leo Na zile mboga unawekaga nazi mwee Hivi makazi mapya ni wapi siku nije niwatembelee Mara nahamia hapohapo. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Umepata!!!☺️☺️ Kama kesho nataka nipike majani ya maboga, kama naona yatakavyonoga! 😂😂😂😂😂 Karibu na upepo wa Ununio unapishia!😉Hamia kabisa tuwe tunapokezana kupika!🙈🙈🙈
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 May 26, 2023 #334,542 mshamba_hachekwi said: Mbona kiduchu hivyo.... Kitafaa kweli kwa matumizi??😂 Click to expand... Aushibi?
mshamba_hachekwi said: Mbona kiduchu hivyo.... Kitafaa kweli kwa matumizi??😂 Click to expand... Aushibi?
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 May 26, 2023 #334,543 Tinsley said: tengeneza mwenyewe nyumbani . napenda kisamvu nilikuwa nanunua karanga halafu natwanga kwa kinu . karanga ni bei ukitaka nzuri ununue zq bei . kukwangua maganda yote ni kazi kweli . na usage baada ya hpo . vikopo navyo vimepanda bei bado sticker .ni kufanya biashara kwa mazoea tu Click to expand... Hahaha sasa sisi wanaume kutwanga kwa kinu ni changamoto Na ukisema upandishe bei kufidia hizo gharama wateja watakimbia bei changamoto sana
Tinsley said: tengeneza mwenyewe nyumbani . napenda kisamvu nilikuwa nanunua karanga halafu natwanga kwa kinu . karanga ni bei ukitaka nzuri ununue zq bei . kukwangua maganda yote ni kazi kweli . na usage baada ya hpo . vikopo navyo vimepanda bei bado sticker .ni kufanya biashara kwa mazoea tu Click to expand... Hahaha sasa sisi wanaume kutwanga kwa kinu ni changamoto Na ukisema upandishe bei kufidia hizo gharama wateja watakimbia bei changamoto sana
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 May 26, 2023 #334,544 Dr Lizzy said: Depal Umekula???View attachment 2635409 Click to expand... Ndio nalog in hapa Hata bado sijala 😋 Ugali mdogo, ila tutashibia mboga
Dr Lizzy said: Depal Umekula???View attachment 2635409 Click to expand... Ndio nalog in hapa Hata bado sijala 😋 Ugali mdogo, ila tutashibia mboga
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 May 26, 2023 #334,545 Dr Lizzy said: 😆😆😆😆 Hata mimi huniambii chochote kuhusu makande, makukuru(ni kama makande ila mahindi hayakobolewi) na ngararimu (mahindi bila 🫘) ya kule kwetu milimani!🤓🤓 Sema waliokula sana maharage & makande shule wasikilizwe, wanaweza kuwa na hoja ya msingi!😁 Click to expand... Wana hoja gani? Wanafananisha na kande za shule ambazo zilikuwa haziungwi🤣 Ya milimani nishakula Ya nazi + karangq nakula Ya mahindi mabichi mazima mazima nakula Yan😂😂
Dr Lizzy said: 😆😆😆😆 Hata mimi huniambii chochote kuhusu makande, makukuru(ni kama makande ila mahindi hayakobolewi) na ngararimu (mahindi bila 🫘) ya kule kwetu milimani!🤓🤓 Sema waliokula sana maharage & makande shule wasikilizwe, wanaweza kuwa na hoja ya msingi!😁 Click to expand... Wana hoja gani? Wanafananisha na kande za shule ambazo zilikuwa haziungwi🤣 Ya milimani nishakula Ya nazi + karangq nakula Ya mahindi mabichi mazima mazima nakula Yan😂😂
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 May 26, 2023 #334,546 Njoo nikuulize 😂😂😂 Mzee wa kupambania
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 26, 2023 #334,547 Mzee wa kupambania said: Hahaha sasa sisi wanaume kutwanga kwa kinu ni changamoto Na ukisema upandishe bei kufidia hizo gharama wateja watakimbia bei changamoto sana Click to expand... hapo huwezi aisee , mambo ya kike sana ni kwendelea tu kununua hivyo hivyo .
Mzee wa kupambania said: Hahaha sasa sisi wanaume kutwanga kwa kinu ni changamoto Na ukisema upandishe bei kufidia hizo gharama wateja watakimbia bei changamoto sana Click to expand... hapo huwezi aisee , mambo ya kike sana ni kwendelea tu kununua hivyo hivyo .
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 May 26, 2023 #334,548 Depal said: Njoo nikuulize 😂😂😂 Mzee wa kupambania Click to expand... Karibu Depal kuuliza 😊😀
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 May 26, 2023 #334,549 Tinsley said: hapo huwezi aisee , mambo ya kike sana ni kwendelea tu kununua hivyo hivyo . Click to expand... Hapo sawa
Tinsley said: hapo huwezi aisee , mambo ya kike sana ni kwendelea tu kununua hivyo hivyo . Click to expand... Hapo sawa
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 May 26, 2023 #334,550 Tinsley said: Siku ujepo utembeapo unarefresh kweli , Gomz umefika kweli . Click to expand... Nije na mie kukutembelea basi
Tinsley said: Siku ujepo utembeapo unarefresh kweli , Gomz umefika kweli . Click to expand... Nije na mie kukutembelea basi
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 26, 2023 #334,551 Mzee wa kupambania said: Hapo sawa Click to expand... Uoe Mzee au bado bado kwanza
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,472 May 26, 2023 #334,552 Depal said: Ndio nalog in hapa Hata bado sijala 😋 Ugali mdogo, ila tutashibia mboga Click to expand... Eti tutashiba mboga!😆😆😆 Tuongezea na viazi basi...
Depal said: Ndio nalog in hapa Hata bado sijala 😋 Ugali mdogo, ila tutashibia mboga Click to expand... Eti tutashiba mboga!😆😆😆 Tuongezea na viazi basi...
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 26, 2023 #334,553 National Anthem said: Nije na mie kukutembelea basi Click to expand... karibu sana Mjomba uswazi sana huku utapaweza kweli
National Anthem said: Nije na mie kukutembelea basi Click to expand... karibu sana Mjomba uswazi sana huku utapaweza kweli
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 May 26, 2023 #334,554 Lenie 😂😂😂
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,472 May 26, 2023 #334,555 Depal said: Wana hoja gani? Wanafananisha na kande za shule ambazo zilikuwa haziungwi🤣 Ya milimani nishakula Ya nazi + karangq nakula Ya mahindi mabichi mazima mazima nakula Yan😂😂 Click to expand... Wasikilizwe kidogo tu ndugu mjumbe!🤓🤓 Itakua wakisikia tu vinatajwa wanakumbuka ladha ya shule. Haswa upate vikiwa vimepoa na kachai ka lemongrass!!🤤
Depal said: Wana hoja gani? Wanafananisha na kande za shule ambazo zilikuwa haziungwi🤣 Ya milimani nishakula Ya nazi + karangq nakula Ya mahindi mabichi mazima mazima nakula Yan😂😂 Click to expand... Wasikilizwe kidogo tu ndugu mjumbe!🤓🤓 Itakua wakisikia tu vinatajwa wanakumbuka ladha ya shule. Haswa upate vikiwa vimepoa na kachai ka lemongrass!!🤤
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 May 26, 2023 #334,556 Tinsley said: karibu sana Mjomba uswazi sana huku utapaweza kweli Click to expand... nipe location nije hata asahivi nije pata chochote kitu
Tinsley said: karibu sana Mjomba uswazi sana huku utapaweza kweli Click to expand... nipe location nije hata asahivi nije pata chochote kitu
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 May 26, 2023 #334,557 Dr Lizzy said: Eti tutashiba mboga!😆😆😆 Tuongezea na viazi basi...View attachment 2635827 Click to expand... La mama🔥🔥 Hapo itakuwa kula kusaza🥰😋
Dr Lizzy said: Eti tutashiba mboga!😆😆😆 Tuongezea na viazi basi...View attachment 2635827 Click to expand... La mama🔥🔥 Hapo itakuwa kula kusaza🥰😋
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 May 26, 2023 #334,558 Mzee wa kupambania said: Karibu Depal kuuliza 😊😀 Click to expand... How to remove hickey? 😂😂 asking for a friend
Mzee wa kupambania said: Karibu Depal kuuliza 😊😀 Click to expand... How to remove hickey? 😂😂 asking for a friend
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 26, 2023 #334,559 National Anthem said: nipe location nije hata asahivi nije pata chochote kitu Click to expand... Kuna kitu basi huku .. karibu huku kwa wazaramo wenyewe . njoo hadi Bunju kabisa ni kati kati hapo .
National Anthem said: nipe location nije hata asahivi nije pata chochote kitu Click to expand... Kuna kitu basi huku .. karibu huku kwa wazaramo wenyewe . njoo hadi Bunju kabisa ni kati kati hapo .
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,472 May 26, 2023 #334,560 Depal said: La mama🔥🔥 Hapo itakuwa kula kusaza🥰😋 Click to expand... Tutavimbiwa🤪🤪 Veggies ni za wiki hii inayokuja.
Depal said: La mama🔥🔥 Hapo itakuwa kula kusaza🥰😋 Click to expand... Tutavimbiwa🤪🤪 Veggies ni za wiki hii inayokuja.