Haruhusiwi kutaniana na majirani mara moja moja??π³π³Wewe kaka angu nitakusemea kwa shemeji unamchet
Ajue mimi ndio mdhamini mwenyewe πLizzy anajua yote halafu hana shida[emoji28]
Ajue mimi ndio mdhamini mwenyewe [emoji41]
Mbona kiduchu hivyo.... Kitafaa kweli kwa matumizi??π
Ewaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]
Nikisubirie na sahani ya [emoji1649] [emoji1649]???π«’
Umepata!!!βΊοΈβΊοΈEwaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ugali kama uliopika leo
Na zile mboga unawekaga nazi mwee
Hivi makazi mapya ni wapi siku nije niwatembelee[emoji38]
Mara nahamia hapohapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aushibi?Mbona kiduchu hivyo.... Kitafaa kweli kwa matumizi??π
Hahaha sasa sisi wanaume kutwanga kwa kinu ni changamototengeneza mwenyewe nyumbani .
napenda kisamvu nilikuwa nanunua karanga halafu natwanga kwa kinu .
karanga ni bei ukitaka nzuri ununue zq bei . kukwangua maganda yote ni kazi kweli .
na usage baada ya hpo .
vikopo navyo vimepanda bei bado sticker .ni kufanya biashara kwa mazoea tu
Ndio nalog in hapaDepal Umekula???View attachment 2635409
Wana hoja gani? Wanafananisha na kande za shule ambazo zilikuwa haziungwiπ€£ππππ
Hata mimi huniambii chochote kuhusu makande, makukuru(ni kama makande ila mahindi hayakobolewi) na ngararimu (mahindi bila π«) ya kule kwetu milimani!π€π€
Sema waliokula sana maharage & makande shule wasikilizwe, wanaweza kuwa na hoja ya msingi!π
hapo huwezi aisee , mambo ya kike sanaHahaha sasa sisi wanaume kutwanga kwa kinu ni changamoto
Na ukisema upandishe bei kufidia hizo gharama wateja watakimbia bei changamoto sana
Karibu Depal kuuliza ππNjoo nikuulize πππ Mzee wa kupambania
Hapo sawahapo huwezi aisee , mambo ya kike sana
ni kwendelea tu kununua hivyo
hivyo .
Nije na mie kukutembelea basiSiku ujepo utembeapo
unarefresh kweli , Gomz umefika kweli .
Uoe Mzee au bado bado kwanzaHapo sawa
Eti tutashiba mboga!πππNdio nalog in hapa
Hata bado sijala π
Ugali mdogo, ila tutashibia mboga