Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Basi ntakuelewesha ukifika!!![]()
Hapo sawa tukiongea utaelewa tu!..worry out

Basi ntakuelewesha ukifika!!![]()

😂😂😂 coco beach huko.Makubwaa![]()
coco beach huko.
nikienda nakula tu mihogo na kurudi ..
hii ya Ununio imetulia sana , nimekwendapo twice .




.ni pazuri sana
Aiseee
Siku moja kwenye wote
Mimi nimewahi kwenda mara moja tu, sijui ndo huko Cocobeach
Tukapiga picha tu za kumbukumbu na kuondoka,Mbeya hatuna bahari.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣 nitajitahidi nifanye hivyo, nikinunua tu inabidi nianze fasta fasta kuzipikia kwanza ili kuonja kusinimalizieUnanua mbili moja ya kuonja na nyingine kupikia
i sio mtoto kiasi iko aliiii 😂😂😂Mambo ya kikubwa hayo kijana huwezi kuelewa![]()
Mim
i sio mtoto kiasi iko aliiii![]()

Tumia jf ya kwenye browser ujioneeRhabhekhaaaaa!!!
Cjaonaaa, hii app picha inazingua uduguu.
Shida imekuwa gafla sana kaka 😂Sasa unaona namwambia mtoto nataka kwenda kwake unashindwa kuelewa nini?![]()
Shida imekuwa gafla sana kaka![]()
😅😅😅 kama kawa anapambana na predatorCommando John au sio![]()
kama kawa anapambana na predator

Hivi ununio ndio ipo wapi?ni pazuri sana
na pametulia ukienda na na mawazo yanatoka kabisa
My ex vipi tena?Hivi ununio ndio ipo wapi?
bora ufanye hivyo aisee🤣🤣🤣 nitajitahidi nifanye hivyo, nikinunua tu inabidi nianze fasta fasta kuzipikia kwanza ili kuonja kusinimalizie
Unaweza ingilia mataa ya kunduchiHivi ununio ndio ipo wapi?