cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Haya sasa ufanye kunitumia na bundle ili picha ifunguke vizuri.don't worry my babe girl. I will send it to you privately![]()
Haya sasa ufanye kunitumia na bundle ili picha ifunguke vizuri.don't worry my babe girl. I will send it to you privately![]()
Portion ya watu wa daslam hii saafi
UhakikaHaya sasa ufanye kunitumia na bundle ili picha ifunguke vizuri.
I'm waitingUhakika
NyooooNipo sana
Hebu tupia kapicha kengine.
Sibishi!!!🙃 Halafu wali ulikua wa nazi.🙂Raha ya msosi mboga ziwe nyingi
Nimekula Kwa macho na kimoyo Moyo.
Ume-enjoy???
Wali nazi ndo mpango mzima 😋Sibishi!!!🙃 Halafu wali ulikua wa nazi.🙂
Hmmm...sio kweli!! Mbona mboga nyingije ni za bei rahisi sana.pesa ina mchango mkubwa kwenye mboga kua nyingi😂 usiongee kirahisi rahisi
kwa watanzania wanaoishi chini ya $1 kwa siku inakua ngumu kidogo....Hmmm...sio kweli!! Mbona mboga nyingije ni za bei rahisi sana.
Unapenda sana???Mi naonaga kawaida 🙊Wali nazi ndo mpango mzima 😋
Leo ndondo hukitia nazi nini? 😅
Sure...kama zinapikwa zote kwa wakati mmoja. Kama zangu zilikua leftovers, cabbage tu ndio nilipika.kwa watanzania wanaoishi chini ya $1 kwa siku inakua ngumu kidogo....
Napenda sana nazi aisee. Ukiacha wali naziUnapenda sana???Mi naonaga kawaida 🙊
Yalikua na nazi. Yale 🫘 mekundu haswa ndio huwa napenda yasipokua na nazi.
👏🏾👏🏾Napenda sana nazi aisee. Ukiacha wali nazi
Nina hizi mboga zangu lazima ziwe na nazi maharage, njegere, samaki, kisamvu
Makande nazi pia
😂😂😂 wababa hizo mambo hawajui
Selfika😂😂😂 wababa hizo mambo hawajui
Mbona nakuona😜