Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Sure...kama zinapikwa zote kwa wakati mmoja. Kama zangu zilikua leftovers, cabbage tu ndio nilipika.kwa watanzania wanaoishi chini ya $1 kwa siku inakua ngumu kidogo....
Sure...kama zinapikwa zote kwa wakati mmoja. Kama zangu zilikua leftovers, cabbage tu ndio nilipika.kwa watanzania wanaoishi chini ya $1 kwa siku inakua ngumu kidogo....
Napenda sana nazi aisee. Ukiacha wali naziUnapenda sana???Mi naonaga kawaida 🙊
Yalikua na nazi. Yale 🫘 mekundu haswa ndio huwa napenda yasipokua na nazi.
👏🏾👏🏾Napenda sana nazi aisee. Ukiacha wali nazi
Nina hizi mboga zangu lazima ziwe na nazi maharage, njegere, samaki, kisamvu
Makande nazi pia
😂😂😂 wababa hizo mambo hawajui
Selfika😂😂😂 wababa hizo mambo hawajui
Mbona nakuona😜
Bora kama unapambana na wastaafu😂😂😂 wababa hizo mambo hawajui
Mbona mapema sana 😀
Me namshangaa mtu asiyekula makande.👏🏾👏🏾
Sasa umetaja makande ya kazi gani?????😟😟 Utanifanya nijishughulishe nayo wakati muda sina!😵
Kisamvu cha karanga je hupendi??? Mie vyote ulivyotaja + mchicha na mnavu uliochanganywa na nyama, bila kusahau majani ya maboga!!!! Ugali unakua unashuka vizuri sana!🤤🤤
So ndio miamba ya SKU hiz
Inachapia had wale za watuSo ndio miamba ya SKU hiz
Natengeneza mazingira ya kupata raise boss.🤓Mbona nakuona😜
Kaboss ka mchongo mchongo!☺️🤩Mbona mapema sana 😀
Au we mwenyewe ndio Boss 🥰
Huo muda nilikuwa kwa blanket 🛌
Yan huku hatupoi, tumemaliza mvua tunaingia baridi.
😆😆😆😆Me namshangaa mtu asiyekula makande.
Kuna rafiki yangu hali kabisa. Kisa eti aliyala sana shule. Namwambia pesa kidogo tu unaanza kukandia chakula ya kitanzania 😂
Tena huku nakula mpk ya mahindi mabichi 😂😂😂