Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Njoo kabla sijamaliza!!!Mambo mazuri haya daah![]()
Njoo kabla sijamaliza!!!Mambo mazuri haya daah![]()
good presentation inafaa kabisa kuwekwa kwenye food magazine....Depal Umekula???View attachment 2635409
Utakula ndio uondoke!😅😅Nikifika nitakula kwanza ndio nile au![]()
Ahahahhahaha uyo ni kichwa mwanangumwanangu anakesha halafu ana Pepa next week Mwache afeli aone marafiki zake watakavyomkataa hawatak urafiki na vilaza😀 yamemkuta ye34nbe
Unapenda kwenda kwa watu kama mtoto embu tulia kwako ukoNikifika nitakula kwanza ndio nile au![]()
Unapenda kwenda kwa watu kama mtoto embu tulia kwako uko

Wapi hujaelewa nikueleweshe???😀Ahaaa hatujaelewana![]()
Nikiogelea lazima ntazamausiogope maji dear ,
mara ya kwanza naogelea ilikuwa grade six , asubuhi niliamka ovyo nilichezea maji kweli siku ile ... tulienda wet n wild




jaribu kwa swimming pool huwezi zama .Nikiogelea lazima ntazama![]()
MzuriKwa niaba yake namuombea kura hapa selfika
Prezooo km prezoo.View attachment 2635370View attachment 2635371
Swimming pool si ndio alifia yule Binti wa Kenya?jaribu kwa swimming pool huwezi zama .
usijaribu beach wale beach boys ni balaa .
alitaka nipeleka mbali , nashukuru kisauti changu nilipiga kelele kweli tukarudi ufukweni .
duh so sadSwimming pool si ndio alifia yule Binti wa Kenya?
Mbali Tena? 😂Alooo
Nimekubali duniani kitu ambacho siwezi ni kuogelea.
beach boys wanabaka wale vijana nasikia mkifika mbali wanakuambia nikuache hapa au unipe aisee .Swimming pool si ndio alifia yule Binti wa Kenya?
Mbali Tena? 😂Alooo
Nimekubali duniani kitu ambacho siwezi ni kuogelea.
Yule dada itrend sana,alifia nchi za nje huko.duh so sad
ilikuwaje ???
swimming pool is much safe aisee beach kuna waves sana
mbali eeh maji yanazidi kweli , yule jamaa bhana namwambia turudi hataki nikasema hunijui![]()

Basi ntakuelewesha ukifika!!🙂Hapo kuondoka sijaelewa![]()
Ah so sad aiseeeeYule dada itrend sana,alifia nchi za nje huko.
Tena alikuwa live Facebook ,akaenda kuogelea
Anaenda kina kirefu,anarudi,anaenda anarudi baadaye alivyoenda akaanza kutapatapa
Pekeyake,hadi kuja kumtoa ashakufa.
Huyo beach boy alikuwa na agenda gani?![]()
Makubwaabeach boys wanabaka wale vijana nasikia mkifika mbali wanakuambia nikuache hapa au unipe aisee .
wanashawishi hao wanakuambia kodi boya , kodi nguo na unakodi.



