Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,522
- 235,247
MzuriKwa niaba yake namuombea kura hapa selfika
Prezooo km prezoo.View attachment 2635370View attachment 2635371
MzuriKwa niaba yake namuombea kura hapa selfika
Prezooo km prezoo.View attachment 2635370View attachment 2635371
Swimming pool si ndio alifia yule Binti wa Kenya?jaribu kwa swimming pool huwezi zama .
usijaribu beach wale beach boys ni balaa .
alitaka nipeleka mbali , nashukuru kisauti changu nilipiga kelele kweli tukarudi ufukweni .
duh so sadSwimming pool si ndio alifia yule Binti wa Kenya?
Mbali Tena? 😂Alooo
Nimekubali duniani kitu ambacho siwezi ni kuogelea.
beach boys wanabaka wale vijana nasikia mkifika mbali wanakuambia nikuache hapa au unipe aisee .Swimming pool si ndio alifia yule Binti wa Kenya?
Mbali Tena? 😂Alooo
Nimekubali duniani kitu ambacho siwezi ni kuogelea.
Yule dada itrend sana,alifia nchi za nje huko.duh so sad
ilikuwaje ???
swimming pool is much safe aisee beach kuna waves sana
mbali eeh maji yanazidi kweli , yule jamaa bhana namwambia turudi hataki nikasema hunijui [emoji23][emoji23]
Basi ntakuelewesha ukifika!!🙂Hapo kuondoka sijaelewa[emoji6]
Ah so sad aiseeeeYule dada itrend sana,alifia nchi za nje huko.
Tena alikuwa live Facebook ,akaenda kuogelea
Anaenda kina kirefu,anarudi,anaenda anarudi baadaye alivyoenda akaanza kutapatapa
Pekeyake,hadi kuja kumtoa ashakufa.
Huyo beach boy alikuwa na agenda gani?[emoji23]
Makubwaa [emoji119][emoji23][emoji23][emoji23]beach boys wanabaka wale vijana nasikia mkifika mbali wanakuambia nikuache hapa au unipe aisee .
wanashawishi hao wanakuambia kodi boya , kodi nguo na unakodi [emoji23][emoji23][emoji23] .
Basi ntakuelewesha ukifika!![emoji846]
😂😂😂 coco beach huko.Makubwaa [emoji119][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] coco beach huko.
nikienda nakula tu mihogo na kurudi ..
hii ya Ununio imetulia sana , nimekwendapo twice .
ni pazuri sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseee
Siku moja kwenye wote
Mimi nimewahi kwenda mara moja tu, sijui ndo huko Cocobeach
Tukapiga picha tu za kumbukumbu na kuondoka,Mbeya hatuna bahari[emoji23].
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣 nitajitahidi nifanye hivyo, nikinunua tu inabidi nianze fasta fasta kuzipikia kwanza ili kuonja kusinimalizieUnanua mbili moja ya kuonja na nyingine kupikia
i sio mtoto kiasi iko aliiii 😂😂😂Mambo ya kikubwa hayo kijana huwezi kuelewa[emoji28]
Mim
i sio mtoto kiasi iko aliiii [emoji23][emoji23][emoji23]
Tumia jf ya kwenye browser ujioneeRhabhekhaaaaa!!!
Cjaonaaa, hii app picha inazingua uduguu.
Shida imekuwa gafla sana kaka 😂Sasa unaona namwambia mtoto nataka kwenda kwake unashindwa kuelewa nini?[emoji28]